johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kitabu cha Hesabu 33:55 ndio kinamsumbua Netanyahu hata sasa huko Palestine
Hesabu 33:55 Lakini msipowafukuza kwanza Wenyeji wa Nchi hiyo wale watakaobakia Watakuwa kama Miiba kwenu kila Upande na watawasumbua
Kama Freeman Mbowe anasimamia mstari huu yuko Sahihi kabisa Kwa sababu Chadema Wakuja ndio Wengi kuliko Chadema Wenyeji lolote laweza kutokea
Ilitokea Kwenye CUF ya Mapalala na ikatokea Kwenye TLP ya yule Mzee wa Kihaya aliyesigina Katiba Jangwani
Ahsanteni Sana
Baadaye Mlale Unono 😀
Hesabu 33:55 Lakini msipowafukuza kwanza Wenyeji wa Nchi hiyo wale watakaobakia Watakuwa kama Miiba kwenu kila Upande na watawasumbua
Kama Freeman Mbowe anasimamia mstari huu yuko Sahihi kabisa Kwa sababu Chadema Wakuja ndio Wengi kuliko Chadema Wenyeji lolote laweza kutokea
Ilitokea Kwenye CUF ya Mapalala na ikatokea Kwenye TLP ya yule Mzee wa Kihaya aliyesigina Katiba Jangwani
Ahsanteni Sana
Baadaye Mlale Unono 😀