Mbowe anataka kuficha madhaifu yake ya kushindwa kuongoza chama

Tumekuelewa, Tunatekeleza
 
Hapa miamala ilikuwa bado haijaingia kwenye Simu 😂😂😂
 
Wewe mbwiga aibu yako hii hivi sasa ndiyo unaongoza wapambe wa Mbowe kumpigia debe. Ogopa sana teknolojia unaumbuka mchana kweupeeee bwege wewe
 
Acha uwongo. Naona sasa umerudia kujipromoti na namba Yako ya simu ili utumiwe na ya kutolea.

Jihadhari mji umechafuka huu, mabasha kila mahali
 
ila siasa ,sasa hivi washawekewa miamala ,wanamtaka mbowe😂😂
 
Rejea hoja zako ulizozitoa. Mara Mbowe anafaa kuendelea kuwa m'kiti, mara leo anaficha madhaifu yake.... Inaonekana hoja zako zinayumbayumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…