Mbowe anataka kuficha madhaifu yake ya kushindwa kuongoza chama

Kunguni ni kunguni tu.

Mtadanganya wasio na akili.

Leo hii kunguni huyu wa mama Abduli anamuita Mbowe mwamba wa siasa za upinzani.

Bado nina akili timamu , ukiona mshimdani wako anakusifia ujue unakosea mahali rudi ujipange.

Interest CCM mliyoonyesha kwa Mbowe tayari tumejua Mbowe ni nani ndani ya Chadema.
 
We shetani sahivi si upo upande wa Mbowe
 
Lucas Mwasambwanda, mbwa dog πŸ• πŸ•...unaitwa huku ...wewe ndi toilet tissue..mavi yako
 
😁😁😁😁chawa hamfahi
 
Aibu yako hii
 
Acha unaa mamluki wa utetezi wa mbowe
 
Wewe kunguni wa mama Abdul ndio unatudanganya umeumizwa na Mbowe kushindwa uchaguzi kwa uhalali kwenye sanduku la kura?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…