Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani CHADEMA kuna utaratibu wa mwenyekiti wa chama kwenda kwenye mkutano na jina moja la kupigiwa NDIO au HAPANA?Mbowe angemchagua Makamu Mwenyekiti wa umri kama wa Wasira au Lwaitama, asingekuwa anahangaika kutuliza chama, hawana tamaa.
Cdm sio chama kilichokabidihi bongo zake kwa wazee.Wasira au Lwaitama ni watu ambao hawana tamaa kutokana na umri wao. Wana hekima, tofauti na Lissu ambaye muda mwingi anazurura akitukana kila mtu barabarani.
Hongera CCM
Unafikiri CCM hawajaliona hilo? 🤣 🤣 🤣Wasira au Lwaitama ni watu ambao hawana tamaa kutokana na umri wao. Wana hekima, tofauti na Lissu ambaye muda mwingi anazurura akitukana kila mtu barabarani.
Hongera CCM
Kwa hiyo vijana hawaaminiki , hata ccm?Wasira au Lwaitama ni watu ambao hawana tamaa kutokana na umri wao. Wana hekima, tofauti na Lissu ambaye muda mwingi anazurura akitukana kila mtu barabarani.
Hongera CCM
Alikuwepo Mzee ambaye ni Profesa Safari na walishindwa safiri pamoja.Wasira au Lwaitama ni watu ambao hawana tamaa kutokana na umri wao. Wana hekima, tofauti na Lissu ambaye muda mwingi anazurura akitukana kila mtu barabarani.
Hongera CCM