Elections 2010 Mbowe atikisa mjini Arusha...

Watu ni wengi sana pale kwenye uwanja NMC kweli siku za mabadiliko zina karibia...
 
Zito au dr slaa lazima arudi mwanza, busanda na tarime, kwimba kwa reticia nyerere hayo ni majimbo yanayohitaji final touch kuyaweka kibindoni

Hapo kwimba nina wasiwasi na huyo mama Leticia Nyerere kwani wiki mbili zilizopita nilikuwa pale Hungumalwa na takribani wiki nzima nilikuwa nikiona Noah yake imepaki tu. Hajafanya mkutano hata mmoja wa ukweli na huko mgombea wa ccm anakubalika zaidi kwani anamchango mkubwa kwa wananchi. Kuna haja ya viongozi wa juu kwenda huko hizi siku mbili tatu.
 
huu muda mnaoutumia kudanganya watu ndio utakaowacost chadema, hamna kitu kama hicho hapa arusha!
Acha ujinga wewe fika pale NMC uone nyomi ya watu, inawezekana ni mmoja ya watu niliopata kuongea nao njia nikiwa naelekea Unga lmt wana lalamika kwamba viongozi wa chadema wakija arusha huwa hawatoi matangazo ya kutosha mimi mwenye nilisha sahau kama leo Mbowe atakuwepo Arusha mpaka nilipo ona hapa JF ndipo nikaenda pale NMC..Watu ni wengi Nimebahatika kuchukua picha naangalia jinsi ya kutuma mana sina cable na mimetumia simu..
 
mi naona Steven Nyerere anatosha kuweka mambo sawa Tarime,Mwanza,Busanda na kwa leticia Nyerere
 
Pata picha
 

Attachments

  • mbowearusha.jpg
    38.7 KB · Views: 967
  • mbowearusha3.jpg
    54 KB · Views: 1,072
  • mbowearusha12.jpg
    31.3 KB · Views: 184
naambiwa kule Mtwara watu ni wengi sana hivyo tujiandae kwa mabadiliko tarehe 31 -10-2010..ila usisahau kwenda kupiga kura usimsahau jirani yako......
 
Ahsante kwa picha Mkuu Crashwise, nyomi linatisha.
 

Kweli ukipenda chongo unaona kengeza.
 
Kazi tunamalizia bado ya kuweka tick na count down.Mwaka huu CCM watajuta kutufahamuuuuuuuuu!!!!
 

Pole mama una jina kama la kike vile basi pole tena mama!!! Nimeongea na jamaa yangu yuko arusha anasema jimbo linatetemeka sasa wewe unakuja na sera gani hizo?? CCM mmekwisha mwaka huuu hamna chenu tena.
 
huu muda mnaoutumia kudanganya watu ndio utakaowacost chadema, hamna kitu kama hicho hapa arusha!
Kisu kunako nyama huuma sana. Karibu tarehe 1 tusheherekee wewe kuvuka mpaka na kuacha wale wa kijani na njano. WELCOME HOME
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…