Baada ya mkutano wa Chadema kumalizika watu walijikusanya makundi makundi yaani Mianzini, garenaro,majengo nk na kuondoka huku wakishangilia na kungwa mkono watu mbalimbali hali hiyo iliwafanya polisi kutawanyika mji mzima wakiwa na mabomo ya machozi lakini nilijaribu kuzunguka sikuona wakitumia nguvu tofauti na week iliyopita pale polisi walipo tumia nguvu na kuvunja vioo, kupinga watu walio kuwa kwenye magari wakimsindikiza Bw Godbless Lema lakini leo nimeshuhudia wanachadema wakishangilia kwa makudi kama vile Taifa stars imeifunga brazil na hii ilimefanyika mbele ya polisi, CHADEMA walionyesha m'kali wa ajabu walikuwa wakipiga miluzi, mayowe, huku wakisema ni saa ya mabadiliko polisi kalaleni hakuna anaefanya fujo, wangine wakisema pipoooooooooooz, Kwa takribani dakika 30 barabara za Arusha mjini zilikuwa hazipitiki kitu kilichowafanya watu kusiamamisha magari ili wanachadema hao wajinafsi, nilipofika maeneo ya Sheikh Amri Abed Stadium, Blue rock, Golden Rose nilikuta umati mkubwa sana wa watu na magari matatu ya polisi wakiwa wamesima pembeni ya barabara kuwatazama CHADEMA, kuna kiongozi alikuja kuwaomba wasambae wasije wakasabaisha polisi wakatumia nguvu watu wa kaitika sawa kamanda nikaona kila moja akiondoka...lakini mimi nilijiuliza Kama Lema alikamatwa kwa sababu ya msafara wa zadi ya magari 30 wakaita maandamano iweje leo Mbowe haja kamatwa au wamesha anza kusoma nyakati