Mbowe atinga mahakamani shauri la watatu waliotekwa

Mbowe atinga mahakamani shauri la watatu waliotekwa

jjackline

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
111
Reaction score
274


Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Freeman Mbowe, leo Agosti 28, 2024 amefika Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam ili kusikiliza shauri linalowakabili viongozi wawili wa Baraza la Umoja wa Vijana Chadema (Bavicha) Wilaya ya Temeke na dereva wa pikipiki wanaodaiwa kushilikiwa kizuizini na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Temeke jijini Dar es Salaam kwa siku 10.​

 

View attachment 3081275

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Freeman Mbowe, leo Agosti 28, 2024 amefika Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam ili kusikiliza shauri linalowakabili viongozi wawili wa Baraza la Umoja wa Vijana Chadema (Bavicha) Wilaya ya Temeke na dereva wa pikipiki wanaodaiwa kushilikiwa kizuizini na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Temeke jijini Dar es Salaam kwa siku 10.​

Mtetezi wa wanyonge tunakuunga mkono katika juhudi za ukombozi wa mtanzania.
 

View attachment 3081275
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Freeman Mbowe, leo Agosti 28, 2024 amefika Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam ili kusikiliza shauri linalowakabili viongozi wawili wa Baraza la Umoja wa Vijana Chadema (Bavicha) Wilaya ya Temeke na dereva wa pikipiki wanaodaiwa kushilikiwa kizuizini na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Temeke jijini Dar es Salaam kwa siku 10.​

 

Attachments

  • VID-20240828-WA0022.mp4
    11.6 MB
Back
Top Bottom