Mbowe awamu hii tumekukataa, sababu tunazo. Ukipumzika tutakuheshimu ila uking'ang'ania tunakukumbusha hatutokuwa sehemu ya Chadema utakayoongoza

Mbowe awamu hii tumekukataa, sababu tunazo. Ukipumzika tutakuheshimu ila uking'ang'ania tunakukumbusha hatutokuwa sehemu ya Chadema utakayoongoza

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Sababu zetu ni zile zile.
1. Hatujui kwanini unagombea awamu hii. Huna ilani wala vipaumbele! Tutakupima vipi?

2. Umeishiwa mbinu na hilo linaonekana waziwazi kwenye muelekeo wa wanachama.

3. Huna tena ushawishi ukilinganisha na wengine.

4. Una harufu ya kuhongwa na CCM. Unaonekana pasipo chembe ya shaka kuwa umeshanunuliwa. Vihashiria Vya waziwazi vipo.

5. Unaungwa mkono na CCM. Mgombea wa upinzani anayeungwa mkono na viongozi wa CCM hajawahi kuwa mgombea salama hata kidogo.

6. Unaunga mkono serikali. Hiyo ni ishara tosha kuwa umevunjwa meno tayari.

7. Wanaokuunga mkono hawana faida yoyote kwa harakati za chama, hawajawahi hata kuitisha mkutano wa watu kumi wakaiongolea CHADEMA zaidi ya kusubiri viongozi wa kitaifa. Hawa wanaonekana ni MACHAWA dhahiri.

8. Umekuja na hoja nyepesi, hazipimiki wala hazina "tune" ya kukikwamua chama kutoka hapa kilipo.

Kwanini huelewi? Una shida gani kichwani mwako? Mbona haya yapo wazi? Najikuta nikijijibu kumbe ni madhara ya kulamba asali!
 
Sababu zetu ni zile zile.
1. Hatujui kwanini unagombea awamu hii. Huna ilani wala vipaumbele! Tutakupima vipi?
2. Umeishiwa mbinu na hilo linaonekana waziwazi kwenye muelekeo wa wanachama.
3. Huna tena ushawishi ukilinganisha na wengine.
4. Una harufu ya kuhongwa na CCM. Unaonekana pasipo chembe ya shaka kuwa umeshanunuliwa. Vihashiria Vya waziwazi vipo.
5. Unaungwa mkono na CCM. Mgombea wa upinzani anayeungwa mkono na viongozi wa CCM hajawahi kuwa mgombea salama hata kidogo.
6. Unaunga mkono serikali. Hiyo ni ishara tosha kuwa umevunjwa meno tayari.
7. Wanaokuunga mkono hawana faida yoyote kwa harakati za chama, hawajawahi hata kuitisha mkutano wa watu kumi wakaiongolea Chadema zaidi ya kusubiri viongozi wa kitaifa. Hawa wanaonekana ni MACHAWA dhahiri.
8. Umekuja na hoja nyepesi, hazipimiki wala hazina "tune" ya kukikwamua chama kutoka hapa kilipo.

Kwanini huelewi? Una shida gani kichwani mwako? Mbona haya yapo wazi? Najikuta nikijijibu kumbe ni madhara ya kulamba asali!
Umeshachelewaaa! Subiri kura ziamueee!
 
8A5B7AC6-F73B-41A1-BD92-7C54A55BBE72.jpeg
 
Ingekuwa kura za vijana ni wazi Lissu atashinda, ila kwa uchaguzi mkuu mchuano sio rahisi kwa Lissu
 
Sababu zetu ni zile zile.
1. Hatujui kwanini unagombea awamu hii. Huna ilani wala vipaumbele! Tutakupima vipi?

2. Umeishiwa mbinu na hilo linaonekana waziwazi kwenye muelekeo wa wanachama.

3. Huna tena ushawishi ukilinganisha na wengine.

4. Una harufu ya kuhongwa na CCM. Unaonekana pasipo chembe ya shaka kuwa umeshanunuliwa. Vihashiria Vya waziwazi vipo.

5. Unaungwa mkono na CCM. Mgombea wa upinzani anayeungwa mkono na viongozi wa CCM hajawahi kuwa mgombea salama hata kidogo.

6. Unaunga mkono serikali. Hiyo ni ishara tosha kuwa umevunjwa meno tayari.

7. Wanaokuunga mkono hawana faida yoyote kwa harakati za chama, hawajawahi hata kuitisha mkutano wa watu kumi wakaiongolea CHADEMA zaidi ya kusubiri viongozi wa kitaifa. Hawa wanaonekana ni MACHAWA dhahiri.

8. Umekuja na hoja nyepesi, hazipimiki wala hazina "tune" ya kukikwamua chama kutoka hapa kilipo.

Kwanini huelewi? Una shida gani kichwani mwako? Mbona haya yapo wazi? Najikuta nikijijibu kumbe ni madhara ya kulamba asali!
nenda nenda nenda
 
Mbowe ni mjomba angu jamani, msimfanyie hivyo. Hicho kikoba chake kinatusaidiaga sana uchaggani.
 
Back
Top Bottom