Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Tangu Mbowe atangaze kuingia tena kwenye kinyang'anyiro cha kutaka kutetea nafasi yake ya uenyekiti hajaweza kusema ana agenda gani mpya kwa Chadema ili achaguliwe tena.
Muda mwingi amekuwa akijibu shutuma zinazomhusu na kujitetea kwanini anastahili kuendelea kukalia hicho kiti kwa miaka mingine mitano zaidi.
Watanzania wanataka kumsikia Mwamba akisema ana agenda gani mpya ya kuivusha Chadema kisiasa.
Mbowe badilika sasa, muda umesonga, zimebakia wiki mbili tu kura kupigwa, wanaChadema ambao bado hawajaamua kwa hakika nani wampe kura zao wanasubiri kusikia pande zote ili waamue.
Muda mwingi amekuwa akijibu shutuma zinazomhusu na kujitetea kwanini anastahili kuendelea kukalia hicho kiti kwa miaka mingine mitano zaidi.
Watanzania wanataka kumsikia Mwamba akisema ana agenda gani mpya ya kuivusha Chadema kisiasa.
Mbowe badilika sasa, muda umesonga, zimebakia wiki mbili tu kura kupigwa, wanaChadema ambao bado hawajaamua kwa hakika nani wampe kura zao wanasubiri kusikia pande zote ili waamue.