the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe alipokuwa akizungumza na clouds amesema
"Hapa Dar es Salaam kila Mtaa unaouona una uongozi wa CHADEMA wa Baraza la Chama, la viongozi wa chama.
Na katika Vijijini zaidi ya 12,000 zaidi ya 80% tuna viongozi katika vijiji nchi nzima na hatimaye sasa Vitongoji.
"Kuna Vitongoji 63, 000 nchi nzima tuna viongozi katika Vitongoji zaidi ya 50,000 nchi nzima.
"Ni mtandao mkubwa sana. Na ndio sababu wakati wote napenda kuwaambia Watanzania na hata viongozi wenzangu hiki Chama kimejengwa kwa nguvu kwa jasho na chama ni kikubwa kuliko Kiongozi yoyote ndani ya Chama hiki.
"Na Chama hiki ni kikubwa kuliko yoyote miongoni mwetu kama mtu binafsi. Ni taasisi kubwa, watu inayovuta na kuunganisha makundi mapana na makubwa sana"- Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
"Hapa Dar es Salaam kila Mtaa unaouona una uongozi wa CHADEMA wa Baraza la Chama, la viongozi wa chama.
Na katika Vijijini zaidi ya 12,000 zaidi ya 80% tuna viongozi katika vijiji nchi nzima na hatimaye sasa Vitongoji.
"Kuna Vitongoji 63, 000 nchi nzima tuna viongozi katika Vitongoji zaidi ya 50,000 nchi nzima.
"Ni mtandao mkubwa sana. Na ndio sababu wakati wote napenda kuwaambia Watanzania na hata viongozi wenzangu hiki Chama kimejengwa kwa nguvu kwa jasho na chama ni kikubwa kuliko Kiongozi yoyote ndani ya Chama hiki.
"Na Chama hiki ni kikubwa kuliko yoyote miongoni mwetu kama mtu binafsi. Ni taasisi kubwa, watu inayovuta na kuunganisha makundi mapana na makubwa sana"- Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025