Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Tuhuma kuwa ndani ya Chama cha CHADEMA Kuna taasisi imeundwa inaitwa Mbowe Foundation lisichukuliwe kuwa ni Jambo la kisiasa, Hawa watu wamejitanabaisha kuwa wana uwezo wa kuongoza nchi, sio wajanja wajanja kama watanzania wanavyoamini lkn ndani yake Kuna uhuni, wizi na makandakando mengi tu.
Msigwa amedai kuwa kuna taasisi inaitwa Mbowe Foundation na secretariats ya Chama hicho imekuwa ikishirikiana na taasisi hiyo kufanya upigaji, national Takukuru ichunguze, CAG pia achunguze kwa maombi ya msajili WA vyama vya siasa nchini.
Pia soma > Kuelekea 2025 - Mchungaji Msingwa anainajisi Siasa za Demokrasia, CCM ni safi kuliko CHADEMA?
Msigwa amedai kuwa kuna taasisi inaitwa Mbowe Foundation na secretariats ya Chama hicho imekuwa ikishirikiana na taasisi hiyo kufanya upigaji, national Takukuru ichunguze, CAG pia achunguze kwa maombi ya msajili WA vyama vya siasa nchini.
Pia soma > Kuelekea 2025 - Mchungaji Msingwa anainajisi Siasa za Demokrasia, CCM ni safi kuliko CHADEMA?