Mbowe hakumtaja Soka na wenzake kwenye hotuba yake badala yake akasifia uongozi wa Rais Samia. Atalipia machozi ya waliopotea

Mbowe hakumtaja Soka na wenzake kwenye hotuba yake badala yake akasifia uongozi wa Rais Samia. Atalipia machozi ya waliopotea

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
20241223_070523.jpg

Kijana Deus Soka umeipambania Chadema kwa jasho na damu. Mara kadhaa umekaa jela, umepigwa, umeumizwa umepitia madhila mengi ukiamini unapigania mabadiliko ya kweli.

Ulikuwa mstari wa mbele kuipigania katiba mpya tulikuona ukipigwa virungu na mateke ulipojitokeza na wenzio kumi maandamano ya kupinga mkataba wa DP world.

Ulifanya mengi ukiamini upo chadema sehemu sahihi ya kuitafuta haki.

Lakini leo haupo, Mbowe anasifia uongozi wa Samia. Kwenye speech yake ya kutangaza kugombea uenyekiti hakuna sehemu amezungumzia wewe na wenzako mliopotea yeye anasema kuhusu mafanikio ya Samia.

Tumeona machawa wa Mbowe walikubeza wakisema umejiteka yote sababu wanajua ulitaka kugombea uenyekiti bavicha taifa utu umewatoka kisa nafasi ya kisiasa mpaka wanasema umejiteka. Pengine kuwa karibu na mentor wako Lissu ndio maana hawajali kuhusu wewe.
20241223_070411.jpg

Naamini uko ulipo ni mzima na utarudi salama, yoyote aliyekuchomesha atalipa.

Mbowe atalipa machozi ya vijana kama Soka waliomini wanakufa na kupotea sababu ya chama kumbe wamekuwa wakitumika leo anasema hizi siasa zimepitwa na wakati siasa za kisasa ni kukaa mezani na kugawana kibuyu cha asali.

Mbowe utalipa machozi ya Soka inshaAllah.
 

Attachments

  • 20241223_070411.jpg
    20241223_070411.jpg
    54.8 KB · Views: 8
Aisee acheni siasa za kulialia Kisa mnamtaka mtu Fulani, kama mnamapenzi naye kwanini unaogopa kura mnamtaka mtu apewe kewa kuonewa Huruma.

Hapo hamsaidii meachenj ajijenge ndani ya chama kwanza.
 
Aisee acheni siasa za kulialia Kisa mnamtaka mtu Fulani, kama mnamapenzi naye kwanini unaogopa kura mnamtaka mtu apewe kewa kuonewa Huruma.

Hapo hamsaidii meachenj ajijenge ndani ya chama kwanza.
Soka kasalitiwa na Mbowe.

Mbowe hazungumzii kuhusu utekaji wala maujaji ya awamu ya 6 kwenye speech zake. Uko ni kutia huruma?
 
View attachment 3182964
Kijana Deus Soka umeipambania Chadema kwa jasho na damu. Mara kadhaa umekaa jela, umepigwa, umeumizwa umepitia madhila mengi ukiamini unapigania mabadiliko ya kweli.

Ulikuwa mstari wa mbele kuipigania katiba mpya tulikuona ukipigwa virungu na mateke ulipojitokeza na wenzio kumi maandamano ya kupinga mkataba wa DP world.

Ulifanya mengi ukiamini upo chadema sehemu sahihi ya kuitafuta haki.

Lakini leo haupo, Mbowe anasifia uongozi wa Samia. Kwenye speech yake ya kutangaza kugombea uenyekiti hakuna sehemu amezungumzia wewe na wenzako mliopotea yeye anasema kuhusu mafanikio ya Samia.

Tumeona machawa wa Mbowe walikubeza wakisema umejiteka yote sababu wanajua ulitaka kugombea uenyekiti bavicha taifa utu umewatoka kisa nafasi ya kisiasa mpaka wanasema umejiteka. Pengine kuwa karibu na mentor wako Lissu ndio maana hawajali kuhusu wewe.
View attachment 3182967
Naamini uko ulipo ni mzima na utarudi salama, yoyote aliyekuchomesha atalipa.

Mbowe atalipa machozi ya vijana kama Soka waliomini wanakufa na kupotea sababu ya chama kumbe wamekuwa wakitumika leo anasema hizi siasa zimepitwa na wakati siasa za kisasa ni kukaa mezani na kugawana kibuyu cha asali.

Mbowe utalipa machozi ya Soka inshaAllah.
Mbowe ndo mwenye watu wasiojulikana waliomteka soka?
 
Utekaji na upotevu wa watu bila kuona reaction ya Mbowe, ndiyo maana wanachama wengi wa CDM hatumtaki tena.

Kuendelea kubaki CDM chini ya Mbowe siyo mahali salama kabisa.
 
Mbowe ndo mwenye watu wasiojulikana waliomteka soka?
Vijana wake wanasema kajiteka huyu dogo.

Umeona Mbowe akikemea haya mambo au akisema anaenda kupigania haya mambo yaishe? Speech yake anamsifia Samia ina maana kubwa sana hiyo


Huyu dogo kasalitiwa na Mbowe. Watu kama huyu dogo kwa Mbowe na team yake wamepitwa na wakati.
 
Lissu kafanya nini? Angalau mahakamani wakati wa kesi alienda? Mbowe alienda
Lissu anaenda kuuwasha moto kukomesha haya mambo.

Achana na usanii wa Mbowe anaenda mahamani na makamera akitoka hapo anaenda ikulu kwa mama kuokota.

Mbowe anawaambia wafuasi wake siasa za huyu dogo zimepitwa na wakati huu ni muda wa siasa za kukaa mezani na CCM.
 
Lissu anaenda kuuwasha moto kukomesha haya mambo.

Achana na usanii wa Mbowe anaenda mahamani na makamera akitoka hapo anaenda ikulu kwa mama kuokota.
Moto unawashwa hivyo? Watanganyika vyeo na maslahi mumeweka mbele. Ulisikia cuf zanzibar walileta mgogoro? Mgogoro wa cuf si ulianzishwa na Lipumba mtannganyika?
 
Moto unawashwa hivyo? Watanganyika vyeo na maslahi mumeweka mbele. Ulisikia cuf zanzibar walileta mgogoro? Mgogoro wa cuf si ulianzishwa na Lipumba mtannganyika?
Duh naona kichwani upo na shida mkuu. Una tatizo kubwa la ubaguzi kichwani mwako maana wewe ni either wakiristo au watanganyika unatamani wafutike kabisa duniani
 
Duh naona kichwani upo na shida mkuu. Una tatizo kubwa la ubaguzi kichwani mwako maana wewe ni either wakiristo au watanganyika unatamani wafutike kabisa duniani
Hayo mawazo yako, lkn analysis ndio inasems hivyo, Mficha uchi hazai
 
Back
Top Bottom