Mbowe jitoe kwenye kinyang'anyiro

Mbowe jitoe kwenye kinyang'anyiro

MIGNON

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2009
Posts
4,108
Reaction score
5,110
Najua ni ngumu.Najua maelezo yatakuwa mengi.Najua ndani ya nafsi unaona kama kuingia kwenye uchaguzi ni kukinusuru Chama.Najua unaumia kwa kuona uliowaamini kukugeuka na kukupiga marungu bila kikomo
Unaweza ukashinda kwenye mkutano Mkuu lakini Chadema haitakuwa ile ile nawe hutakuwa Mbowe tuliekuzoea.
Hatua ya kwanza,waombe wapambe na wafuasi wako warudisheni silaha ndani.Pamoja na kuwa wewe binafsi hujatamka neno baya dhidi ya makamu wako lakini wapambe wako wamefanya hivyo.Muache makamu wako aeleze,atokote atakavyo lakini kama ulivyofanya kwa Slaa,Lowasa,Sumaye,Mashinji na wengine fanya hivyo hivyo kwa Makamu wako.
Pumzika,unganisha wanachama na wapenzi wa Chadema na furahia maisha.
 
Najua ni ngumu.Najua maelezo yatakuwa mengi.Najua ndani ya nafsi unaona kama kuingia kwenye uchaguzi ni kukinusuru Chama.Najua unaumia kwa kuona uliowaamini kukugeuka na kukupiga marungu bila kikomo
Unaweza ukashinda kwenye mkutano Mkuu lakini Chadema haitakuwa ile ile nawe hutakuwa Mbowe tuliekuzoea.
Hatua ya kwanza,waombe wapambe na wafuasi wako warudisheni silaha ndani.Pamoja na kuwa wewe binafsi hujatamka neno baya dhidi ya makamu wako lakini wapambe wako wamefanya hivyo.Muache makamu wako aeleze,atokote atakavyo lakini kama ulivyofanya kwa Slaa,Lowasa,Sumaye,Mashinji na wengine fanya hivyo hivyo kwa Makamu wako.
Pumzika,unganisha wanachama na wapenzi wa Chadema na furahia maisha.
Ushauri mzuri sana lakini ni kama unampigia mbuzi gitaa. Chawa wake na team Kizimkazi wamemzidi nguvu najua anajua uamuzi sahihi kwake ni upi lakini nguvu ya wapambe imemuelemea.
 
Najua ni ngumu.Najua maelezo yatakuwa mengi.Najua ndani ya nafsi unaona kama kuingia kwenye uchaguzi ni kukinusuru Chama.Najua unaumia kwa kuona uliowaamini kukugeuka na kukupiga marungu bila kikomo
Unaweza ukashinda kwenye mkutano Mkuu lakini Chadema haitakuwa ile ile nawe hutakuwa Mbowe tuliekuzoea.
Hatua ya kwanza,waombe wapambe na wafuasi wako warudisheni silaha ndani.Pamoja na kuwa wewe binafsi hujatamka neno baya dhidi ya makamu wako lakini wapambe wako wamefanya hivyo.Muache makamu wako aeleze,atokote atakavyo lakini kama ulivyofanya kwa Slaa,Lowasa,Sumaye,Mashinji na wengine fanya hivyo hivyo kwa Makamu wako.
Pumzika,unganisha wanachama na wapenzi wa Chadema na furahia maisha.
Jambazi la kisiasa halisikii wala nini.

Siku zake kisiasa zimeshafikia kwenye PERESI
 
Hawezi. Mchumia tumbo na tamaa ya pesa vinamuendesha yule mzee.
Ushauri mzuri sana lakini ni kama unampigia mbuzi gitaa. Chawa wake na team Kizimkazi wamemzidi nguvu najua anajua uamuzi sahihi kwake ni upi lakini nguvu ya wapambe imemuelemea.
Mbowe wakati ana shughurikiwa na Magufuri mashamba yake yanaharibiwa kule Hai si mlikuwa kimya? Wajinga nyie
 
Hakuna Kujitoa ! Kama umetumwa na Lissu basi kaula wa chuyaa !
Kura ni ndani box sio mitandaoni !
Hata mimi nilikuwa naamini hivyo lakini nimeyaona kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.Viongozi wameshinda lakini mkutano wa kujitambulisha hakuna watu
 
Masisiem yanamuogopa Mbowe kama kifo. Mi5 tena kwa Mwamba. Usikabidhi chama kwa matapeli wa demokrasia.
 
Embu mpumzisheni Mbowe aise,mtu yupo na Familia yake wanakula sikukuu nyie kutwa kumuwaza,yani kama vile hamna mambo ya kufanya.
 
Najua ni ngumu.Najua maelezo yatakuwa mengi.Najua ndani ya nafsi unaona kama kuingia kwenye uchaguzi ni kukinusuru Chama.Najua unaumia kwa kuona uliowaamini kukugeuka na kukupiga marungu bila kikomo
Unaweza ukashinda kwenye mkutano Mkuu lakini Chadema haitakuwa ile ile nawe hutakuwa Mbowe tuliekuzoea.
Hatua ya kwanza,waombe wapambe na wafuasi wako warudisheni silaha ndani.Pamoja na kuwa wewe binafsi hujatamka neno baya dhidi ya makamu wako lakini wapambe wako wamefanya hivyo.Muache makamu wako aeleze,atokote atakavyo lakini kama ulivyofanya kwa Slaa,Lowasa,Sumaye,Mashinji na wengine fanya hivyo hivyo kwa Makamu wako.
Pumzika,unganisha wanachama na wapenzi wa Chadema na furahia maisha.
Amzuie wenje kugomboea umakamu uenyekiti

Vinginevyo tutaamini yeye ndo anamtuma
 
Hata mimi nilikuwa naamini hivyo lakini nimeyaona kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.Viongozi wameshinda lakini mkutano wa kujitambulisha hakuna watu
Raia walifanyaje? Kule Kenya wananchi huwa hawangojie tamko la Viongozi wao wa vyama, wao ni jeshi kamili

Sasa nyie endeleenu kujiaminisha kwamba Lisu atawasaidia, ilihali mnajua fika nyie ni waoga kuliko mijusi
 
Najua ni ngumu.Najua maelezo yatakuwa mengi.Najua ndani ya nafsi unaona kama kuingia kwenye uchaguzi ni kukinusuru Chama.Najua unaumia kwa kuona uliowaamini kukugeuka na kukupiga marungu bila kikomo
Unaweza ukashinda kwenye mkutano Mkuu lakini Chadema haitakuwa ile ile nawe hutakuwa Mbowe tuliekuzoea.
Hatua ya kwanza,waombe wapambe na wafuasi wako warudisheni silaha ndani.Pamoja na kuwa wewe binafsi hujatamka neno baya dhidi ya makamu wako lakini wapambe wako wamefanya hivyo.Muache makamu wako aeleze,atokote atakavyo lakini kama ulivyofanya kwa Slaa,Lowasa,Sumaye,Mashinji na wengine fanya hivyo hivyo kwa Makamu wako.
Pumzika,unganisha wanachama na wapenzi wa Chadema na furahia maisha.
Sio yeye kuna nguvu kubwa nyuma yake inampush
 
Back
Top Bottom