connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
1. Mwenyekiti kwa niaba ya wanachama wote tunakusihi ni busara kujiuzulu uongozi kwenye Chama umeshindwa kuongoza chama kwa yanayotokea.
2. Uchaguzi Mkuu ujao 2025 tutaangukia pua tena kama 2020 (Kura kiduchu, Mbunge mmoja, aibu hii tunaipeleka wapi?).
3. Tumia Busara jiuzulu, lopolopo akaimu nafasi ya Mwenyekiti
2. Uchaguzi Mkuu ujao 2025 tutaangukia pua tena kama 2020 (Kura kiduchu, Mbunge mmoja, aibu hii tunaipeleka wapi?).
3. Tumia Busara jiuzulu, lopolopo akaimu nafasi ya Mwenyekiti