connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
Mboe ni nani ??Mheshimiwa mwenyekiti ni busara kujiuzulu uongozi kwenye Chama umeshindwa kuongoza chama kwa yanayotokea. 2025 tutaangukia pua tena kama 2020
UWT hawana akili mkuuMboe ni nani ??
Mheshimiwa mwenyekiti ni busara kujiuzulu uongozi kwenye Chama umeshindwa kuongoza chama kwa yanayotokea. 2025 tutaangukia pua tena kama 2020
Wana CHADEMA tufanye maandamano ya Amani. Kumuondoa Mboe madarakani
1. Katiba yenu inamtambua kuwa ni Mwenyekiti wa milele?
Kwamba ye mfia chama au????
1. Mwenyekiti kwa niaba ya wanachama wote tunakusihi ni busara kujiuzulu uongozi kwenye Chama umeshindwa kuongoza chama kwa yanayotokea.
2. Uchaguzi Mkuu ujao 2025 tutaangukia pua tena kama 2020 (Kura kiduchu, Mbunge mmoja, aibu hii tunaipeleka wapi?).
3. Tumia Busara jiuzulu, lopolopo akaimu nafasi ya Mwenyekiti
1. Mwenyekiti kwa niaba ya wanachama wote tunakusihi ni busara kujiuzulu uongozi kwenye Chama umeshindwa kuongoza chama kwa yanayotokea.
2. Uchaguzi Mkuu ujao 2025 tutaangukia pua tena kama 2020 (Kura kiduchu, Mbunge mmoja, aibu hii tunaipeleka wapi?).
3. Tumia Busara jiuzulu, lopolopo akaimu nafasi ya Mwenyekiti
Mwanzo umeandika kama mwana CDM halafu baadaye umejitoa uanachama wa CDM.Maana yake nini huu uzi wako?1. Katiba yenu inamtambua kuwa ni Mwenyekiti wa milele?
2. Kama #1 ni NDIO mnapata uhalali gani wa kudai katiba mpya?
Comments reserved1. Mwenyekiti kwa niaba ya wanachama wote tunakusihi ni busara kujiuzulu uongozi kwenye Chama umeshindwa kuongoza chama kwa yanayotokea.
2. Uchaguzi Mkuu ujao 2025 tutaangukia pua tena kama 2020 (Kura kiduchu, Mbunge mmoja, aibu hii tunaipeleka wapi?).
3. Tumia Busara jiuzulu, lopolopo akaimu nafasi ya Mwenyekiti
Huu ni muda wa kupandikiza migogoro kwa manufaa ya wenye nia ovu iwe kwa chama ama taifa,hivyo tunahitaji uthibitisho wa kila hoja inayotolewa pasi kuacha shaka yoyote katika hoja husika,bila kujali cheo wala mamlaka aliyo nayo Ntu.1. Mwenyekiti kwa niaba ya wanachama wote tunakusihi ni busara kujiuzulu uongozi kwenye Chama umeshindwa kuongoza chama kwa yanayotokea.
2. Uchaguzi Mkuu ujao 2025 tutaangukia pua tena kama 2020 (Kura kiduchu, Mbunge mmoja, aibu hii tunaipeleka wapi?).
3. Tumia Busara jiuzulu, lopolopo akaimu nafasi ya Mwenyekiti
Busara ametumia leo kumnusuru waziri wako Masauni!Tumia Busara
Huyu atafia madarakani kama mzee wa kirarancha1. Mwenyekiti kwa niaba ya wanachama wote tunakusihi ni busara kujiuzulu uongozi kwenye Chama umeshindwa kuongoza chama kwa yanayotokea.
2. Uchaguzi Mkuu ujao 2025 tutaangukia pua tena kama 2020 (Kura kiduchu, Mbunge mmoja, aibu hii tunaipeleka wapi?).
3. Tumia Busara jiuzulu, lopolopo akaimu nafasi ya Mwenyekiti