masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Gazeti la Raia Mwema leo lina Makala nzuri sana ya kudadisi matokeo ya uchaguzi wa mwaka huu.
Mbowe ali "m-procure" Lowassa dakika za mwisho kabisa katika kumpata mgombea wa urais baada ya Lowassa kukatwa nafasi hiyo huko CCM.
Wakati huo Mbowe akitamba kuwa amebadili gia angani, kitendo ambacho kimsingi hata kwenye ndege yenyewe hakiruhusiwi-maana ndege ni lazima itaanguka tu.
Mbaya Zaidi Lowassa mwenyewe aliingia UKAWA kwa gia moja tu, nayo ni kugombea urais, bila kutilia manani msimamo wa CHADEMA uliokibeba kwa miaka mingi, msimamo wa kupinga ufisadi.
Na Zaidi ya hapo msimamo huo wa kupinga ufisadi ulitokea dirishani, na haukuwa na mashiko katika kampeni.
La kuhuzunisha ni kuondoka kwa wapiganaji amhiri wa upinzani katika UKAWA, Dr Slaa na Prof Lipumba.
Ukijumlisha yote, kwa watu makini, uadilishaji huu wa gia angani umeleta matokeo yasiyo na tija kwa Upinzani , UKAWA na hata CHADEMA yenyewe.
Siyo siri, ndege ya CHADEMA inendelea kuelekea ardhini na kuanguka, matokeo yanajieleza.
Mbowe ali "m-procure" Lowassa dakika za mwisho kabisa katika kumpata mgombea wa urais baada ya Lowassa kukatwa nafasi hiyo huko CCM.
Wakati huo Mbowe akitamba kuwa amebadili gia angani, kitendo ambacho kimsingi hata kwenye ndege yenyewe hakiruhusiwi-maana ndege ni lazima itaanguka tu.
Mbaya Zaidi Lowassa mwenyewe aliingia UKAWA kwa gia moja tu, nayo ni kugombea urais, bila kutilia manani msimamo wa CHADEMA uliokibeba kwa miaka mingi, msimamo wa kupinga ufisadi.
Na Zaidi ya hapo msimamo huo wa kupinga ufisadi ulitokea dirishani, na haukuwa na mashiko katika kampeni.
La kuhuzunisha ni kuondoka kwa wapiganaji amhiri wa upinzani katika UKAWA, Dr Slaa na Prof Lipumba.
Ukijumlisha yote, kwa watu makini, uadilishaji huu wa gia angani umeleta matokeo yasiyo na tija kwa Upinzani , UKAWA na hata CHADEMA yenyewe.
Siyo siri, ndege ya CHADEMA inendelea kuelekea ardhini na kuanguka, matokeo yanajieleza.