Mbogo nyeusi
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 233
- 541
Nimeona humu Kuna kundi linampondea Freeman Mbowe kutangaza nia ya kugombea urais mwaka huu 2020,
Kwa maono yangu naona yupo sawa siyo kwa maana ya katiba ya nchi au chama,kwa vile mtangaza nia mkuu anaye tegemewa kwa Sasa hayupo nchini na inawezekana muda ukafika na ikashindikana kuingia nchini kutokana na kuhofia usalama wake,ikitokea hivyo maana yake chama kitakuwa hakijajiandaa kuwa na mtu imara,kwa hiyo kuwepo kwa watangaza nia Kama Freeman na Nyalandu ni maandalizi mazuri ya kufikia October,Nina imani kuwa siku lisu akiingia hapa nchini salama Mbowe atajitoa kiroho Safi,hofu ipo kwa Lisuuuuu atarejea na usalama wake utakuwaje?hawa wanaomnanga Mbowe humu ni hofu tu walifikiri chama kimekufa.
Kwa maono yangu naona yupo sawa siyo kwa maana ya katiba ya nchi au chama,kwa vile mtangaza nia mkuu anaye tegemewa kwa Sasa hayupo nchini na inawezekana muda ukafika na ikashindikana kuingia nchini kutokana na kuhofia usalama wake,ikitokea hivyo maana yake chama kitakuwa hakijajiandaa kuwa na mtu imara,kwa hiyo kuwepo kwa watangaza nia Kama Freeman na Nyalandu ni maandalizi mazuri ya kufikia October,Nina imani kuwa siku lisu akiingia hapa nchini salama Mbowe atajitoa kiroho Safi,hofu ipo kwa Lisuuuuu atarejea na usalama wake utakuwaje?hawa wanaomnanga Mbowe humu ni hofu tu walifikiri chama kimekufa.