Mbowe kataa mtego wa kuombwa kuendelea kuwa Mwenyekiti

Mbowe kataa mtego wa kuombwa kuendelea kuwa Mwenyekiti

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
MBOWE KATAA MTEGO HUU WA KUOMBWA KUENDELEA KUWA MWENYEKITI.

Mwl. Nyerere kila alipotaka kung'atuka wapambe waliandamana kumtaka aendelee wakimwambia Nchi hii changa bila wewe tutakwama, Bila wewe hatuwezi kwenda popote na Mwl. aliwasikiliza akawakubalia lkn mwishoni aliamua kufanya maamuzi magumu akang'atuka na ndipo alipogundua waliokuwa wanampanga hawakufanya hivyo kwa maslahi ya Nchi bali ni kwa maslahi ya matumbo yao na familia zao.

Mbowe linda heshima yako uliyoijenga kwa miaka mingi kwa jasho, machozi, damu na fedha kwa kuwakataa hao wapambe na wito wao.

Kama kweli wanakupenda mbona ulipoitisha maandamano hawakutoka kwa idadi kubwa kama ile kukusapoti??

Kwenye maandamano hawatoki kukusapoti ila kwenye kugombea ndio wanafurika kukutaka ugombee huwezi kujiuliza hawa ni watu wa aina gani???

Mbowe wasikilize familia yako na wenye mapenzi mema na wewe pumzika kwa heshima waachie wengine waendelee ulipoishia baki na heshima yako katika mageuzi kwani utake usitake kuna siku utatoka tu hapo.

Wahuni wengi na wanufaika wa mfumo uliopo ndio huwa na mashaka na mabadiliko ya uongozi lkn kila mabadiliko yalipotokea mambo yaliendelea kama kawaida.

Hata baada ya kifo cha Magufuli kuna watu waliamini mambo yangesimama lakini wote ni mashahidi mambo yanasonga mbele.

Mbowe dhihirisha kuwa chama chako ni cha kidemokrasia, dhihirisha kuwa wewe sio muumini wa kung'ang'ania madaraka, dhihirisha kuwa wewe ni mtu unayesoma nyakati na mazingira katika uongozi. Pumzika kwa heshima yako na historia itakukumbuka kama mwamba wa siasa za mageuzi Nchini.
 
MBOWE KATAA MTEGO HUU WA KUOMBWA KUENDELEA KUWA MWENYEKITI.

Mwl. Nyerere kila alipotaka kung'atuka wapambe waliandamana kumtaka aendelee wakimwambia Nchi hii changa bila wewe tutakwama, Bila wewe hatuwezi kwenda popote na Mwl. aliwasikiliza akawakubalia lkn mwishoni aliamua kufanya maamuzi magumu akang'atuka na ndipo alipogundua waliokuwa wanampanga hawakufanya hivyo kwa maslahi ya Nchi bali ni kwa maslahi ya matumbo yao na familia zao.

Mbowe linda heshima yako uliyoijenga kwa miaka mingi kwa jasho, machozi, damu na fedha kwa kuwakataa hao wapambe na wito wao.

Kama kweli wanakupenda mbona ulipoitisha maandamano hawakutoka kwa idadi kubwa kama ile kukusapoti??

Kwenye maandamano hawatoki kukusapoti ila kwenye kugombea ndio wanafurika kukutaka ugombee huwezi kujiuliza hawa ni watu wa aina gani???

Mbowe wasikilize familia yako na wenye mapenzi mema na wewe pumzika kwa heshima waachie wengine waendelee ulipoishia baki na heshima yako katika mageuzi kwani utake usitake kuna siku utatoka tu hapo.

Wahuni wengi na wanufaika wa mfumo uliopo ndio huwa na mashaka na mabadiliko ya uongozi lkn kila mabadiliko yalipotokea mambo yaliendelea kama kawaida.

Hata baada ya kifo cha Magufuli kuna watu waliamini mambo yangesimama lakini wote ni mashahidi mambo yanasonga mbele.

Mbowe dhihirisha kuwa chama chako ni cha kidemokrasia, dhihirisha kuwa wewe sio muumini wa kung'ang'ania madaraka, dhihirisha kuwa wewe ni mtu unayesoma nyakati na mazingira katika uongozi. Pumzika kwa heshima yako na historia itakukumbuka kama mwamba wa siasa za mageuzi Nchini.
Ni Mbowe tena kwa muongo mwingine.
 
Wanachama wa CHADEMA wanafurahisha sana. Wanataka mabadiliko kwenye uongozi wa nchi na vyama vingine ila hawataki mabadiliko kwenye uongozi wa chama chao.

Wanataka fomu za kugombea urais ndani ya CCM zitoke zaidi ya moja na asigombee Samia pekee, ila huko CHADEMA Lissu amechukua fomu wanamuita mhaini.
 
MBOWE KATAA MTEGO HUU WA KUOMBWA KUENDELEA KUWA MWENYEKITI.

Mwl. Nyerere kila alipotaka kung'atuka wapambe waliandamana kumtaka aendelee wakimwambia Nchi hii changa bila wewe tutakwama, Bila wewe hatuwezi kwenda popote na Mwl. aliwasikiliza akawakubalia lkn mwishoni aliamua kufanya maamuzi magumu akang'atuka na ndipo alipogundua waliokuwa wanampanga hawakufanya hivyo kwa maslahi ya Nchi bali ni kwa maslahi ya matumbo yao na familia zao.

Mbowe linda heshima yako uliyoijenga kwa miaka mingi kwa jasho, machozi, damu na fedha kwa kuwakataa hao wapambe na wito wao.

Kama kweli wanakupenda mbona ulipoitisha maandamano hawakutoka kwa idadi kubwa kama ile kukusapoti??

Kwenye maandamano hawatoki kukusapoti ila kwenye kugombea ndio wanafurika kukutaka ugombee huwezi kujiuliza hawa ni watu wa aina gani???

Mbowe wasikilize familia yako na wenye mapenzi mema na wewe pumzika kwa heshima waachie wengine waendelee ulipoishia baki na heshima yako katika mageuzi kwani utake usitake kuna siku utatoka tu hapo.

Wahuni wengi na wanufaika wa mfumo uliopo ndio huwa na mashaka na mabadiliko ya uongozi lkn kila mabadiliko yalipotokea mambo yaliendelea kama kawaida.

Hata baada ya kifo cha Magufuli kuna watu waliamini mambo yangesimama lakini wote ni mashahidi mambo yanasonga mbele.

Mbowe dhihirisha kuwa chama chako ni cha kidemokrasia, dhihirisha kuwa wewe sio muumini wa kung'ang'ania madaraka, dhihirisha kuwa wewe ni mtu unayesoma nyakati na mazingira katika uongozi. Pumzika kwa heshima yako na historia itakukumbuka kama mwamba wa siasa za mageuzi Nchini.
Akigombea tu nitajua sababu gani Wagombea wetu huwa hawatangazwi wakishinda
 
MBOWE KATAA MTEGO HUU WA KUOMBWA KUENDELEA KUWA MWENYEKITI.

Mwl. Nyerere kila alipotaka kung'atuka wapambe waliandamana kumtaka aendelee wakimwambia Nchi hii changa bila wewe tutakwama, Bila wewe hatuwezi kwenda popote na Mwl. aliwasikiliza akawakubalia lkn mwishoni aliamua kufanya maamuzi magumu akang'atuka na ndipo alipogundua waliokuwa wanampanga hawakufanya hivyo kwa maslahi ya Nchi bali ni kwa maslahi ya matumbo yao na familia zao.

Mbowe linda heshima yako uliyoijenga kwa miaka mingi kwa jasho, machozi, damu na fedha kwa kuwakataa hao wapambe na wito wao.

Kama kweli wanakupenda mbona ulipoitisha maandamano hawakutoka kwa idadi kubwa kama ile kukusapoti??

Kwenye maandamano hawatoki kukusapoti ila kwenye kugombea ndio wanafurika kukutaka ugombee huwezi kujiuliza hawa ni watu wa aina gani???

Mbowe wasikilize familia yako na wenye mapenzi mema na wewe pumzika kwa heshima waachie wengine waendelee ulipoishia baki na heshima yako katika mageuzi kwani utake usitake kuna siku utatoka tu hapo.

Wahuni wengi na wanufaika wa mfumo uliopo ndio huwa na mashaka na mabadiliko ya uongozi lkn kila mabadiliko yalipotokea mambo yaliendelea kama kawaida.

Hata baada ya kifo cha Magufuli kuna watu waliamini mambo yangesimama lakini wote ni mashahidi mambo yanasonga mbele.

Mbowe dhihirisha kuwa chama chako ni cha kidemokrasia, dhihirisha kuwa wewe sio muumini wa kung'ang'ania madaraka, dhihirisha kuwa wewe ni mtu unayesoma nyakati na mazingira katika uongozi. Pumzika kwa heshima yako na historia itakukumbuka kama mwamba wa siasa za mageuzi Nchini.
Hayo ni maigizo, ametumia chawa wake Boni mandevu ku organize tukio
 
Anaonesha kama bado ataendelea kuwa mwenyekiti pale alipotamka kamanda nikiona chama kinazamishwa naingia mzigoni. Kama mbowe akirudi uenyekitini yeye ndiye ataimaliza chadema. Haohao chawa wake wanaompambisha agombee watamgeuka na kuanza kumsigina. Chadema haitakuwa na mvuto tena chini ya mbowe
 
ile jana ilikuwa maigizo uliletwa uzi mbowe ataongea na vyombo vya habari, mara vijana wavamia nyumbani kwake kumshinikiza agombee uenyekiti kwa lugha nyepesi zile zinaitwa sarakasi za mbowe..
 
MBOWE KATAA MTEGO HUU WA KUOMBWA KUENDELEA KUWA MWENYEKITI.

Mwl. Nyerere kila alipotaka kung'atuka wapambe waliandamana kumtaka aendelee wakimwambia Nchi hii changa bila wewe tutakwama, Bila wewe hatuwezi kwenda popote na Mwl. aliwasikiliza akawakubalia lkn mwishoni aliamua kufanya maamuzi magumu akang'atuka na ndipo alipogundua waliokuwa wanampanga hawakufanya hivyo kwa maslahi ya Nchi bali ni kwa maslahi ya matumbo yao na familia zao.

Mbowe linda heshima yako uliyoijenga kwa miaka mingi kwa jasho, machozi, damu na fedha kwa kuwakataa hao wapambe na wito wao.

Kama kweli wanakupenda mbona ulipoitisha maandamano hawakutoka kwa idadi kubwa kama ile kukusapoti??

Kwenye maandamano hawatoki kukusapoti ila kwenye kugombea ndio wanafurika kukutaka ugombee huwezi kujiuliza hawa ni watu wa aina gani???

Mbowe wasikilize familia yako na wenye mapenzi mema na wewe pumzika kwa heshima waachie wengine waendelee ulipoishia baki na heshima yako katika mageuzi kwani utake usitake kuna siku utatoka tu hapo.

Wahuni wengi na wanufaika wa mfumo uliopo ndio huwa na mashaka na mabadiliko ya uongozi lkn kila mabadiliko yalipotokea mambo yaliendelea kama kawaida.

Hata baada ya kifo cha Magufuli kuna watu waliamini mambo yangesimama lakini wote ni mashahidi mambo yanasonga mbele.

Mbowe dhihirisha kuwa chama chako ni cha kidemokrasia, dhihirisha kuwa wewe sio muumini wa kung'ang'ania madaraka, dhihirisha kuwa wewe ni mtu unayesoma nyakati na mazingira katika uongozi. Pumzika kwa heshima yako na historia itakukumbuka kama mwamba wa siasa za mageuzi Nchini.
Nilitaka kuanzisha uzi kama huu. Miaka 20 inatosha Sasa angepumzika tu. Ameshafanya yote aliyotakiwa kukifanyia chama chake,sidhan kama kuna kipya amesahau.

Kwa Chama kinachoitwa Cha Demokrsia basi ni vyema ikatumika Demokrsia hiyo hiyo kuwaachia wengine nao walete visions zao kwenye uongozi.
 
ile jana ilikuwa maigizo uliletwa uzi mbowe ataongea na vyombo vya habari, mara vijana wavamia nyumbani kwake kumshinikiza agombee uenyekiti kwa lugha nyepesi zile zinaitwa sarakasi za mbowe..
na hao vijana wengi wao ni uvccm
 
Hao waombaji sasa
IMG-20241219-WA0021.jpg
 
Nilitaka kuanzisha uzi kama huu. Miaka 20 inatosha Sasa angepumzika tu. Ameshafanya yote aliyotakiwa kukifanyia chama chake,sidhan kama kuna kipya amesahau.

Kwa Chama kinachoitwa Cha Demokrsia basi ni vyema ikatumika Demokrsia hiyo hiyo kuwaachia wengine nao walete visions zao kwenye uongozi.
True
 
Chama cha Familia aache mtu mwingine ki rahisi mmmmmmh

Agombanie tu waendelee kutupa burudani
 
Wanachama wa CHADEMA wanafurahisha sana. Wanataka mabadiliko kwenye uongozi wa nchi na vyama vingine ila hawataki mabadiliko kwenye uongozi wa chama chao.

Wanataka fomu za kugombea urais ndani ya CCM zitoke zaidi ya moja na asigombee Samia pekee, ila huko CHADEMA Lissu amechukua fomu wanamuita mhaini.
Misukule ya Mzee Mbowe inatuona kuwa watanzania ni wajinga 🙆‍♂️🙆‍♂️
 
ndiyo hawa kina Tlaatlaah, Lucas Mwashambwa, chiembe, jingalao na sijajua kwanini wanamuhofia lissu kuliko mbowe.
Gentleman,
hofu na mashaka yenu na huo ushirikina wenu mbaki navyo huko huko, tafadhali sana..

wapeni nafasi wataalamu na wachambuzi wabobevu wa siasa za vyama hususan ulowatag, wafanye kazi yao muhimu sana ya kuelezea strengths na weakness za wagombea uongozi wa chadema kitaifa,

ili wadau wa JF nao wapate nafasi ya kujua, kujifunza, kuongeza ufahamu na uelewa wao juu ya masuala mbalimbali yanaendelea kwenye wa chadema iliyogawanyika.

So,
hizo dhana potofu unazojaribu kuchochea kwa members wa JF ulowatag, hazina athari zozote kisiasa na haziwezi kuwadhoofisha wataalamu hawa wa siasa za vyama, kuacha kufanya wajibu wao huo muhimu, kwa faida ya wadau.

Pole kwa maelezo marefu, maana nakujua ulivyo mvivu kujifunza 🐒
 
Back
Top Bottom