Pre GE2025 Mbowe kuongoza Vikao vya Mashauriano Mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara kuanzia 15-19 June, 2024

Pre GE2025 Mbowe kuongoza Vikao vya Mashauriano Mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara kuanzia 15-19 June, 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ataongoza mikutano ya Mashauriano kwenye Mikoa ya Kanda ya Mashariki kama ifuatavyo:

1718378138060.jpeg


Tanga tarehe 15 June

Arusha 16 June

Manyara 18 June

Kilimanjaro 19 June

Credit: Twaha Mwaipaya X

My take; Mcheza kwao hutunzwa
 
Makamu mwenyekiti wa chama atahudhuria hivyo vikao? Au ni vya mwenyekigoda peke yake?!
 
Kwahy mbowe ni mwenyekiti wa taifa na kanda 😎

Sawa, msanii wa kizazi kipya nchini Tanzania Mbowe mambo yatakuwa humu tuu humu tuu

JamiiForums1267461471_387x387.jpg
 
Back
Top Bottom