johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
WANASHAURIANA NINI WAKATI CHAMA WASHAKIPASUA KATIKATIMwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ataongoza mikutano ya Mashauriano kwenye Mikoa ya Kanda ya Mashariki kama ifuatavyo:
Tanga tarehe 15 June
Arusha 16 June
Manyara 18 June
Kilimanjaro 19 June
Credit: Twaha Mwaipaya X
My take; Mcheza kwao hutunzwa
MRAMBA ASALI HUYO HACHELEWI KUITWA NA WAKUBWAMbona tuliambiwa ameitwa dubai na abdul?
Amesharudi?
Abdul alimwitia nini
Ndio kampeni za kubakia madarakani zimeanzaApumzike.....
Dictator cha upoleNdio kampeni za kubakia madarakani zimeanza