Tetesi: Mbowe kutimuka CHADEMA

Tetesi: Mbowe kutimuka CHADEMA

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Nimezidaka ili kuendelea kula pesa za Abdul mbowe ataondoka chadema na kwenda kwenye tawi moja la chama chakavu ili avute pesa ya mama Abdul.

Unaambiwa kapangwa ili kupewa wabunge kadhaa ili awe mwenyekiti wa kambi ya upinzani bungeni

Soon movie zinaanza wacha maji yajitenge na mafuta!!

Nawaonya waliopo kwenye mkakati huu wote wataanguka
 
Nimezidaka ili kuendelea kula pesa za Abdul mbowe atandoka chadema na kwenda kwenye tawi moja la chama chakavu ili avute pesa ya mama Abdul

Soon movie zinaanza wacha maji yajitenge na mafuta!!
Wacha hizi propaganda za kijinga kaka..

FAM is way above this nonsense..

Hakuna mtu atafanya investment CDM miaka mingine 20 ijayo zaid ya FAM..

Kama pesa za abduly ni za bure na nyie mchukue muendeshe chama...

64M is the lowest kwenye fundraising za CDM kwa miaka yote tangu ianzishwe...

You dont like him, at least respect him
 
Nimezidaka ili kuendelea kula pesa za Abdul mbowe atandoka chadema na kwenda kwenye tawi moja la chama chakavu ili avute pesa ya mama Abdul

Soon movie zinaanza wacha maji yajitenge na mafuta!!
Yaani ninaomba usiku na mchana afanye hivyo ili tujue wanaccm waliokuqa wanaihujumu cdm. Halafu wapewe jukwaaa moja na Msigwa kuhutubia. Ahakikishe anaenda na Covid19.
 
Leo kuna tukio limetokea kenya pastor kulawitiwa na bishop ila cha kushangaza maumivu aliyoyapa anavodai wameya beba wasimuliaji mfano huyu mtoa uzi anavyo umia chadema
 
Wacha hizi propaganda za kijinga kaka..

FAM is way above this nonsense..

Hakuna mtu atafanya investment CDM miaka mingine 20 ijayo zaid ya FAM..

Kama pesa za abduly ni za bure na nyie mchukue muendeshe chama...

64M is the lowest kwenye fundraising za CDM kwa miaka yote tangu ianzishwe...

You dont like him, at least respect him
Unapoteza muda sana kubishana na hawa watoto na maluhuni!!
 
Nimezidaka ili kuendelea kula pesa za Abdul mbowe atandoka chadema na kwenda kwenye tawi moja la chama chakavu ili avute pesa ya mama Abdul

Soon movie zinaanza wacha maji yajitenge na mafuta!!
Una utoto mwingi sana wewe.
 
Back
Top Bottom