technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Wacha hizi propaganda za kijinga kaka..Nimezidaka ili kuendelea kula pesa za Abdul mbowe atandoka chadema na kwenda kwenye tawi moja la chama chakavu ili avute pesa ya mama Abdul
Soon movie zinaanza wacha maji yajitenge na mafuta!!
Yaani ninaomba usiku na mchana afanye hivyo ili tujue wanaccm waliokuqa wanaihujumu cdm. Halafu wapewe jukwaaa moja na Msigwa kuhutubia. Ahakikishe anaenda na Covid19.Nimezidaka ili kuendelea kula pesa za Abdul mbowe atandoka chadema na kwenda kwenye tawi moja la chama chakavu ili avute pesa ya mama Abdul
Soon movie zinaanza wacha maji yajitenge na mafuta!!
Hata mimi nimefukiria hivyo yaani Mwamba kabisa?!!!!Wacha hizi propaganda za kijinga kaka..
FAM is way above this nonsense..
Lusungo Fundi Mchundo RetiredNimezidaka ili kuendelea kula pesa za Abdul mbowe atandoka chadema na kwenda kwenye tawi moja la chama chakavu ili avute pesa ya mama Abdul soon movie zinaanza wacha maji yajitenge na mafuta!!
Siwezi kushangaaNimezidaka ili kuendelea kula pesa za Abdul mbowe atandoka chadema na kwenda kwenye tawi moja la chama chakavu ili avute pesa ya mama Abdul
Soon movie zinaanza wacha maji yajitenge na mafuta!!
Anaweza maana mahali pakulia pameshaota nyasiFAM hana njaa kiasi cha kuhamia huko!
Yule ni bussiness man! Ana vitega uchumi vyake ndani na nje ya nchi.Anaweza maana mahali pakulia pameshaota nyasi
FAM hana njaa kiasi cha kuhamia huko!
Unapoteza muda sana kubishana na hawa watoto na maluhuni!!Wacha hizi propaganda za kijinga kaka..
FAM is way above this nonsense..
Hakuna mtu atafanya investment CDM miaka mingine 20 ijayo zaid ya FAM..
Kama pesa za abduly ni za bure na nyie mchukue muendeshe chama...
64M is the lowest kwenye fundraising za CDM kwa miaka yote tangu ianzishwe...
You dont like him, at least respect him
🤣🤣 kabisa mkuuIsipotokea urudi basi kuja kutuomba radhi mkuu
Nilikuambia toka mwanzo una utoto sana! Mbowe si mwenyekiti tena wa CHADEMA hivi mnahangaika nae nini?Nimezidaka ili kuendelea kula pesa za Abdul mbowe atandoka chadema na kwenda kwenye tawi moja la chama chakavu ili avute pesa ya mama Abdul
Soon movie zinaanza wacha maji yajitenge na mafuta!!
Una utoto mwingi sana wewe.Nimezidaka ili kuendelea kula pesa za Abdul mbowe atandoka chadema na kwenda kwenye tawi moja la chama chakavu ili avute pesa ya mama Abdul
Soon movie zinaanza wacha maji yajitenge na mafuta!!
kubabakeeee.Humu Tu humu tu