Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 1,353
- 3,060
Huyu Mzee analipeleka wapi Chama yani kutoka kuzungukwa na akina Prof Baregu, Prof Safar, Dr Mkumbo, Ntagazwa, Arfi, Dr Slaa, Lissu, Heche, Lema, Msigwa, Mdee na leo kuzungukwa na Ntobi, MMM, Sugu na Boni yai
Mzee anataka watu wa ndiyo Bwana mkubwa bila kuona mbali kua anakiua chama kwa kuwatenga watu wenye weredi na kuwavuta karibu machawa
Wajumbe Mpumzisheni Mbowe
Mzee anataka watu wa ndiyo Bwana mkubwa bila kuona mbali kua anakiua chama kwa kuwatenga watu wenye weredi na kuwavuta karibu machawa
Wajumbe Mpumzisheni Mbowe