Pre GE2025 Mbowe: Madai ya serikali ya nusu mkate ni uongo, aliyeniahidi ahadi lukuki alikuwa Magufuli, nilitakaa

Pre GE2025 Mbowe: Madai ya serikali ya nusu mkate ni uongo, aliyeniahidi ahadi lukuki alikuwa Magufuli, nilitakaa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Na Msigwa alianza hivi hivi, baadaye tukasikia huyoooo anazima nyingine na kuwasha kijani!

=====

Mbowe anasema serikali ya nusu mkate haijawahi kuwa ajenda ya chadema mahali popote, yeye mwenyewe anashangaa mtu amezuka huko na kusema eti Mbowe ameahidiwa kupewa uwaziri mkuu, huo ni uongo, akisema uwaziri mkuu ni suala la kikatiba.

Na kwamba viongozi wa chadema wakiwa wanaongelea masuala haya basi wawe wanaongea kwa facts ili waonekane ni chama makini.

Pia soma:
Anasema aliyemuahidi ahadi lukuki alikuwa magufuli, akamwambia ajiunge na ccm na atapewa cheo chochote anachotaka na pia atakuwa mbunge lakini alikataa.

Mwishoni alimwambia aachane na chadema, afanye biashara yoyote lakini aachane na chadema na kwamba atarudishwa mali zake zote, lakini bado alikataa.
 
Wakuu,

Mbowe anasema serikali ya nusu mkate haijawahi kuwa ajenda ya chadema mahali popote, yeye mwenyewe anashangaa mtu amezuka huko na kusema eti Mbowe ameahidiwa kupewa uwaziri mkuu, huo ni uongo, akisema uwaziri mkuu ni suala la kikatiba.

Na kwamba viongozi wa chadema wakiwa wanaongelea masuala haya basi wawe wanaongea kwa facts ili waonekane ni chama makini.

Anasema aliyemuahidi ahadi lukuki alikuwa magufuli, akamwambia ajiunge na ccm na atapewa cheo chochote anachotaka na pia atakuwa mbunge lakini alikataa
Huku ni kupiga jiwe gizani 😁😁,
 
Wakuu,

Mbowe anasema serikali ya nusu mkate haijawahi kuwa ajenda ya chadema mahali popote, yeye mwenyewe anashangaa mtu amezuka huko na kusema eti Mbowe ameahidiwa kupewa uwaziri mkuu, huo ni uongo, akisema uwaziri mkuu ni suala la kikatiba.

Na kwamba viongozi wa chadema wakiwa wanaongelea masuala haya basi wawe wanaongea kwa facts ili waonekane ni chama makini.

Anasema aliyemuahidi ahadi lukuki alikuwa magufuli, akamwambia ajiunge na ccm na atapewa cheo chochote anachotaka na pia atakuwa mbunge lakini alikataa
Kumbe ni kweli mbowe alitaka ubunge siku zote alikua anaongea na magufuri kisilisili, mbona siku zote hizo alikua hajawahi kusema kwamba alikua na maongezi na JPM mpaka afariki ndo anatalifu ummah.
 
Hili la Magufuli kuongea na Mbowe wala sishangai, sidhani kama kuna mpinzani makini hakua approached na Magufuli. Sometimes namuelewa Mbowe kuhusu kubadirika kwake, kuwapigania Watanzania ni kupoteza muda tu, hatunaga msimamo. Kwetu Yanga na Simba vinatosha kabisa; mambo ya nchi kwetu sio kipaumbele chetu hata kidogo. Why aendelee kupoteza fursa za kimaisha kwasababu yetu?
 
Wakuu,

Na Msigwa alianza hivi hivi, baadaye tukasikia huyoooo anazima nyingine na kuwasha kijani!

=====

Mbowe anasema serikali ya nusu mkate haijawahi kuwa ajenda ya chadema mahali popote, yeye mwenyewe anashangaa mtu amezuka huko na kusema eti Mbowe ameahidiwa kupewa uwaziri mkuu, huo ni uongo, akisema uwaziri mkuu ni suala la kikatiba.

Na kwamba viongozi wa chadema wakiwa wanaongelea masuala haya basi wawe wanaongea kwa facts ili waonekane ni chama makini.

Anasema aliyemuahidi ahadi lukuki alikuwa magufuli, akamwambia ajiunge na ccm na atapewa cheo chochote anachotaka na pia atakuwa mbunge lakini alikataa.

Mwishoni alimwambia aachane na chadema, afanye biashara yoyote lakini aachane na chadema na kwamba atarudishwa mali zake zote, lakini bado alikataa.
Kiki
 
Back
Top Bottom