Elections 2010 Mbowe, Marando, Slaa, Zitto, Lissu, Mnyika

kama posho si issue kubwa kwa chadema, tunaomba ile ahadi ya elimu bure ianze sasa kwa michango ya wabunge wenu kusomesha angalau watoto mayatima ktk majimbo yao ndipo kauli ya posho sio issue iwe ni kweli!!!
Dawa ya huyu kilaza ni kutomjibu lolote! Yuko jukwaa ambalo hajui anafanya nini!
 
Mimi naunga mkono jambo hili. Lazima kifanyike kitu, call it kituko, if you will. Kitu ambacho kitaufanya ulimwengu wote utambue uhaini uliofanwa na CCm ktk uchaguzi. Hata hivyo ni vizuri kulifanya hilo within the bounds of bunge by-laws and the constitution. Nina uhakika kuwa viongozi wa upinzani ndani ya CHADEMA na vyama vingine watazingatia kanuni na sheria.
 
Hayo yote mnayoyasema ni kweli, lakini bila ya kuwapa wafuasi wake moyo uenda wakamkimbia kwa kukata tamaa. Aina budi ieleweke kukitoa chama kilichoko madarakani siyo reremama hasa kwa nchi kama zetu ambapo viongozi wengi wanahofia hali yao ya baadaye ikiwa watatoka madarakani na kukabidhi serikali kwa mahasimu wao. Tusidanganyane katika hali ya sasa ambapo Dr. Slaa amekuwa akitishia kuwa akiingia madarakani atawafikisha mafisadi papa wote mahakamani, haitatokea wakamwachia madaraka hivi hivi.
 
Najua Dr. Slaa ni Mwanasaikolojia na najua anajua wafuasi wake wanvyoteseka ingawa mafisadi wanateseka zaidi.

Lakini ni vema aje aseme tutarajie nini na lini (timeframe)
 
Mnajua sometimes huwa nawaita wavivu wa kusoma michango mingi ya JF la sivyo husingeweka post yako hii hapa kwa tamko alilotoa Dr. Chomoa hapa kuona updates: https://www.jamiiforums.com/uchaguz...-mbowe-marando-slaa-zitto-lissu-mnyika-2.html
 
Basi watoke mmoja mmoja kama enzi zile akifundisha mwalimu ambaye wanafunzi wamemkataa. waondoke mmoja mmoja mpaka wabaki sisi em A na B
 
Jamani, haya maneno kweli yanatoka ktk kichwa chenye mvi!
Nimekukubali hapo Dr. Waiting for suprise 😎
 
Namuunga mkono Lasikoki kutoka nje ya ukumbi haitasaidia kitu kama kweli wangekuwa serious na issue nzima wamgeretariate from the begining ila sasa is too late. Hii itakuwa sawa na kumkimbia adui wakati unatakiwa upambane hadi kufa. Kuzila , kususa ni tabia za kizamani bora kubakia na kumsoma adui anaudhaifu gani kisha kuponda kichwa km cha nyoka.
 
Ningekuwa mimi ninge march out bse kumsikiliza ni sawa na kukubaliana nae wakati leo wametoa tamko kuwa hawamtambui
 
ni muhimu kwa DR W P SLAA kusubiri hadi apate taarifa zote muhimu ndipo atoe statement. Kuhusu wabunge kususia kikao au hotuba y rais huko ni kupot6ka kabisa. Tena nina wasiwasi wanaotoa wazo hilo wametumwa na CCM. Plz CHADEMA msifanye hivy6 kamwe
 

It has to happen
 
ni muhimu kwa DR W P SLAA kusubiri hadi apate taarifa zote muhimu ndipo atoe statement. Kuhusu wabunge kususia kikao au hotuba y rais huko ni kupot6ka kabisa. Tena nina wasiwasi wanaotoa wazo hilo wametumwa na CCM. Plz CHADEMA msifanye hivy6 kamwe

Please give your justification as well as the implication of doing so. So that they either attend or not attend. this will make them make informed decision.
 
Ni vizuri Dr. Slaa angeatoa vielelezo vinavyoonesha uchakachuaji kabla ya hotuba, ili hata wakikacha kikao ionekane kuna 'supportive document' kuliko kutoka kama 'mbayuwayu'
 

Dr. W. Slaa ninaku-salute, walipokuengua kuwawakilisha wananchi wa karatu wakati huo, walijidanganya ya kuwa walikumaliza,
kumbe walikupa nafasi ya kuwaumbua mbele ya macho ya watanzania,
wameiba kura za kukuunga mkono, wanadhani wamefaulu, anguko lao ni kuu, tena laja upesi.
wananchi "wapiga kura" tunasema sisi em wanatapatapa bali kuondoka madarakani hawana hiyari. muda utawaduwaza!!!

THE STONE THAT THE BUILDER REFUSED, SHALL BE THE HEAD CORNER STONE,
 
Swala hili ni zito sana na linahitaji busara kubwa kulichukulia uamuzi. Ingependeza sana kama tamko rasmi la CHADEMA lingetangulia kabla ya hiyo siku ya hiyo hotuba. Lakini lazima pia tukumbuke kuwa kumshinikiza kiongozi ambaye amevuna heshima kwa wananchi wa Taifa hili kwa uchapa kazi wake, umakini na ujasiri mkubwa kama ule wa kuthubutu kuwaumbua mafisadi, ni kukosa kumtendea haki. Hakika wananchi wapenda maendeleo na mabadiliko nao wamefanya kazi kubwa sana. Nina hakika kabisa atafanya kama baadhi tunavyofikiri, kwenda kuwashukuru. Lakini hilo linaweza kungoja kidogo wakati haya mambo yanawekwa sawa. Ninakubaliana 100% na wazo kwamba ni lazima ishara iwepo ya kupeleka ujumbe kwa chama tawala kuwa ukiritimba na ubabe wake unaelekea ukingoni. Na kama walivyotangulia watoa hoja, ili na mataifa jirani na rafiki wa nchi yetu wawe wamepata ujumbe huo. Hiyo mishara kama ni ya wabunge wa CHADEMA kutoka bungeni au kujifunika nyuso kwa karatasi/gazeti wakati wote wa hiyo hotuba mimi sijui kama ni lipi linakubalika kwa taratibu za bunge letu. Lakini ninataka kuamini kuwa Bunge ni lazima liwe pahala pa kufikishia hisia za wananchi wote bila woga. Ninahakika CHADEMA wanafahamu hilo jukumu la kuziwasilisha hisia za wananchi siku hiyo wakiwa makini kabisa. Hii ni changa moto! Labda JK ampe Dr. Slaa U-PM na mawaziri watatu tu kutoka CHADEMA hapo kitaeleweka. (ukiyataka sana mabadiliko unaweza kuota ota ndoto za mchana).
 
kama chadema wamesema hawamtambui rais sasa unataka wamsikilize kama nani?
 
Mimi naona wabunge wanaweza kusikiliza kama sheria inawabana kam haiwabani watoke ila napendekeza Dr. Slaa aandae evidence zake ziwe tayari mara tu baada ya hotuba yake na yeye usiku huo huo awaeleze watanzania wayforward, kupitia Chombo cha habari (TV) au waandishi wa habari ili magazeti yaamke na habari ndo hiyooooo. Timing here is very crucial
 
Congrats Chadema kwa kususia hafla ya kuapishwa kwa waziri mkuu kama mlivyoahidi tunasubiri tukio lile kuu la kutoka nje wakati wa hotuba ya Kikwete najua mtaendeleza msimamo wenu tuko pamoja.
 
Mimi ninaimani they will walkout kuonyesha kuwa anayeongea si chaguo la watanzania na msg itakuwa imetumwa kwa wafadhili kabla ya Dr. Slaa kuongea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…