Pre GE2025 Mbowe mbio za sakafuni kurejea kwenye mazungumzo

Pre GE2025 Mbowe mbio za sakafuni kurejea kwenye mazungumzo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mapessa

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
664
Reaction score
1,168
Muda wowote kuanzia siku ya leo Freeman Mbowe atatangaza kusitishwa kwa maandamano na kurejea kwenye meza ya mazungumzo. Why..?

Yapo mambo matano utafiti wa kisayansi ambao ulionyesha wazi Freeman Mbowe hatoweza kufanikiwa katika lengo lake.

1. Personal interest; Mbowe anatoa tamko la maandamano akiwa peke yake bila wajumbe wengine wa kamati kuu. zaidi alikuwa na chawa wake.

2. Escape route; Mbowe anaonekana akiomba sapoti ya makazi kwa muda kwa moja ya balozi hapa nchini. Hii ndiyo njia itakayomrudisha mezani kwenye maridhiano.

3. We are not together; Tundu Lissu Anahamasisha Wananchi kuipa hamasa Taifa Stars huko Ivory Coast atakuwepo hadi tarehe 24 January. (Middle finger) siku ya Jana alifika kwenye kambi ya Taifa Stars na kuzungumza na wachezaji wa timu ya Taifa kuwapa moyo.

4. Disorganized; Mnyika anajibu hoja za taarifa ya maandamano ni maazimio ya kamati kuu. Ukweli anaujua ni taarifa anayo yeye yeye na Mbowe tu.

5. Business as usual;Lema ana share taarifa yupo CANADA na familia yake maisha yanaendelea kama kawaida. Ataandamana akiwa mbali. (business as usual

Ndiyo maana tunasema Tatizo lao linaanzia mbali sana, sio tu kwenye kujua sehemu ya kupeleka matatizo yao, nature ya matatizo yao pia hawayajui.!
 
Muda wowote kuanzia siku ya leo Freeman Mbowe atatangaza kusitishwa kwa maandamano na kurejea kwenye meza ya mazungumzo. Why..?

Yapo mambo matano utafiti wa kisayansi ambao ulionyesha wazi Freeman Mbowe hatoweza kufanikiwa katika lengo lake.

1. Personal interest; Mbowe anatoa tamko la maandamano akiwa peke yake bila wajumbe wengine wa kamati kuu. zaidi alikuwa na chawa wake.

2. Escape route; Mbowe anaonekana akiomba sapoti ya makazi kwa muda kwa moja ya balozi hapa nchini. Hii ndiyo njia itakayomrudisha mezani kwenye maridhiano.

3. We are not together; Tundu Lissu Anahamasisha Wananchi kuipa hamasa Taifa Stars huko Ivory Coast atakuwepo hadi tarehe 24 January. (Middle finger) siku ya Jana alifika kwenye kambi ya Taifa Stars na kuzungumza na wachezaji wa timu ya Taifa kuwapa moyo.

4. Disorganized; Mnyika anajibu hoja za taarifa ya maandamano ni maazimio ya kamati kuu. Ukweli anaujua ni taarifa anayo yeye yeye na Mbowe tu.

5. Business as usual;Lema ana share taarifa yupo CANADA na familia yake maisha yanaendelea kama kawaida. Ataandamana akiwa mbali. (business as usual

Ndiyo maana tunasema Tatizo lao linaanzia mbali sana, sio tu kwenye kujua sehemu ya kupeleka matatizo yao, nature ya matatizo yao pia hawayajui.!
Stupid rubbish thread! Poteza Mb za watu na muda....
 
Muda wowote kuanzia siku ya leo Freeman Mbowe atatangaza kusitishwa kwa maandamano na kurejea kwenye meza ya mazungumzo. Why..?

Yapo mambo matano utafiti wa kisayansi ambao ulionyesha wazi Freeman Mbowe hatoweza kufanikiwa katika lengo lake.

1. Personal interest; Mbowe anatoa tamko la maandamano akiwa peke yake bila wajumbe wengine wa kamati kuu. zaidi alikuwa na chawa wake.

2. Escape route; Mbowe anaonekana akiomba sapoti ya makazi kwa muda kwa moja ya balozi hapa nchini. Hii ndiyo njia itakayomrudisha mezani kwenye maridhiano.

3. We are not together; Tundu Lissu Anahamasisha Wananchi kuipa hamasa Taifa Stars huko Ivory Coast atakuwepo hadi tarehe 24 January. (Middle finger) siku ya Jana alifika kwenye kambi ya Taifa Stars na kuzungumza na wachezaji wa timu ya Taifa kuwapa moyo.

4. Disorganized; Mnyika anajibu hoja za taarifa ya maandamano ni maazimio ya kamati kuu. Ukweli anaujua ni taarifa anayo yeye yeye na Mbowe tu.

5. Business as usual;Lema ana share taarifa yupo CANADA na familia yake maisha yanaendelea kama kawaida. Ataandamana akiwa mbali. (business as usual

Ndiyo maana tunasema Tatizo lao linaanzia mbali sana, sio tu kwenye kujua sehemu ya kupeleka matatizo yao, nature ya matatizo yao pia hawayajui.!
Tusimwachie Mbowe pekee yake kama vile yeye ndio atateseka zaidi na ugumu wa maisha, kumbuka kuwa Mbowe ni tajiri na anaweza kuishi katika hali yoyote ile ya kiuchumi bila kuumia. Watanzania tuwe na akili japo kiduchu.
 
Muda wowote kuanzia siku ya leo Freeman Mbowe atatangaza kusitishwa kwa maandamano na kurejea kwenye meza ya mazungumzo. Why..?

Yapo mambo matano utafiti wa kisayansi ambao ulionyesha wazi Freeman Mbowe hatoweza kufanikiwa katika lengo lake.

1. Personal interest; Mbowe anatoa tamko la maandamano akiwa peke yake bila wajumbe wengine wa kamati kuu. zaidi alikuwa na chawa wake.

2. Escape route; Mbowe anaonekana akiomba sapoti ya makazi kwa muda kwa moja ya balozi hapa nchini. Hii ndiyo njia itakayomrudisha mezani kwenye maridhiano.

3. We are not together; Tundu Lissu Anahamasisha Wananchi kuipa hamasa Taifa Stars huko Ivory Coast atakuwepo hadi tarehe 24 January. (Middle finger) siku ya Jana alifika kwenye kambi ya Taifa Stars na kuzungumza na wachezaji wa timu ya Taifa kuwapa moyo.

4. Disorganized; Mnyika anajibu hoja za taarifa ya maandamano ni maazimio ya kamati kuu. Ukweli anaujua ni taarifa anayo yeye yeye na Mbowe tu.

5. Business as usual;Lema ana share taarifa yupo CANADA na familia yake maisha yanaendelea kama kawaida. Ataandamana akiwa mbali. (business as usual

Ndiyo maana tunasema Tatizo lao linaanzia mbali sana, sio tu kwenye kujua sehemu ya kupeleka matatizo yao, nature ya matatizo yao pia hawayajui.!
Ndiyo uliyotumwa kuyaleta humu?
 
Muda wowote kuanzia siku ya leo Freeman Mbowe atatangaza kusitishwa kwa maandamano na kurejea kwenye meza ya mazungumzo. Why..?

Yapo mambo matano utafiti wa kisayansi ambao ulionyesha wazi Freeman Mbowe hatoweza kufanikiwa katika lengo lake.

1. Personal interest; Mbowe anatoa tamko la maandamano akiwa peke yake bila wajumbe wengine wa kamati kuu. zaidi alikuwa na chawa wake.

2. Escape route; Mbowe anaonekana akiomba sapoti ya makazi kwa muda kwa moja ya balozi hapa nchini. Hii ndiyo njia itakayomrudisha mezani kwenye maridhiano.

3. We are not together; Tundu Lissu Anahamasisha Wananchi kuipa hamasa Taifa Stars huko Ivory Coast atakuwepo hadi tarehe 24 January. (Middle finger) siku ya Jana alifika kwenye kambi ya Taifa Stars na kuzungumza na wachezaji wa timu ya Taifa kuwapa moyo.

4. Disorganized; Mnyika anajibu hoja za taarifa ya maandamano ni maazimio ya kamati kuu. Ukweli anaujua ni taarifa anayo yeye yeye na Mbowe tu.

5. Business as usual;Lema ana share taarifa yupo CANADA na familia yake maisha yanaendelea kama kawaida. Ataandamana akiwa mbali. (business as usual

Ndiyo maana tunasema Tatizo lao linaanzia mbali sana, sio tu kwenye kujua sehemu ya kupeleka matatizo yao, nature ya matatizo yao pia hawayajui.!
Uchambuzi ni kipaji na akili, bahati mbaya Mungu alikunyima hivyo vitu, nakushauri ukae na utulia kuliko kuendelea kujihaibisha mitandaoni.

Nasubiri kuona UVCCM na UWT mkipanga maandamano ya kumshukuru na kumpongeza Rais kwa kutoa tamko la kuruhusu maandamano ya Chadema yaliyopangwa trh 24.
 
Nimeona hii kitu mahala, hata yule Askofu Mwamakula nae anataka mazungumzo yawepo, sijajua kwanini anaona maandamano ni kama vurugu ikiwa yanaruhusiwa kisheria.

Haya mambo yanatakiwa kwenda kwa mpangilio unaoeleweka, tamko la kiongozi ndio linatakiwa kufuatwa, kama Lissu atakuwepo au asiwepo, hiyo kwangu sioni tatizo iwapo wengine wapo.

Kwanza kwa Lissu kutokuwepo, naona ameenda kuvunja ile propaganda ya kusema Lissu amekaa kiharakati, hapo tayari ameshawazunguka watu, na siamini kama hiyo ziara ya Lissu Ivory Coast ni yake binafsi, kwamba haina baraka za viongozi wa chama chake.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Muda wowote kuanzia siku ya leo Freeman Mbowe atatangaza kusitishwa kwa maandamano na kurejea kwenye meza ya mazungumzo. Why..?

Yapo mambo matano utafiti wa kisayansi ambao ulionyesha wazi Freeman Mbowe hatoweza kufanikiwa katika lengo lake.

1. Personal interest; Mbowe anatoa tamko la maandamano akiwa peke yake bila wajumbe wengine wa kamati kuu. zaidi alikuwa na chawa wake.

2. Escape route; Mbowe anaonekana akiomba sapoti ya makazi kwa muda kwa moja ya balozi hapa nchini. Hii ndiyo njia itakayomrudisha mezani kwenye maridhiano.

3. We are not together; Tundu Lissu Anahamasisha Wananchi kuipa hamasa Taifa Stars huko Ivory Coast atakuwepo hadi tarehe 24 January. (Middle finger) siku ya Jana alifika kwenye kambi ya Taifa Stars na kuzungumza na wachezaji wa timu ya Taifa kuwapa moyo.

4. Disorganized; Mnyika anajibu hoja za taarifa ya maandamano ni maazimio ya kamati kuu. Ukweli anaujua ni taarifa anayo yeye yeye na Mbowe tu.

5. Business as usual;Lema ana share taarifa yupo CANADA na familia yake maisha yanaendelea kama kawaida. Ataandamana akiwa mbali. (business as usual

Ndiyo maana tunasema Tatizo lao linaanzia mbali sana, sio tu kwenye kujua sehemu ya kupeleka matatizo yao, nature ya matatizo yao pia hawayajui.!
Kusitisha maandamano ni simple tu, nikuondoa takataka ile bungeni
 
Tusimwachie Mbowe pekee yake kama vile yeye ndio atateseka zaidi na ugumu wa maisha, kumbuka kuwa Mbowe ni tajiri na anaweza kuishi katika hali yoyote ile ya kiuchumi bila kuumia. Watanzania tuwe na akili japo kiduchu.

Angekuwa tajiri asingekuwa anaiba ruzuku ya chama
 
Muda wowote kuanzia siku ya leo Freeman Mbowe atatangaza kusitishwa kwa maandamano na kurejea kwenye meza ya mazungumzo. Why..?

Yapo mambo matano utafiti wa kisayansi ambao ulionyesha wazi Freeman Mbowe hatoweza kufanikiwa katika lengo lake.

1. Personal interest; Mbowe anatoa tamko la maandamano akiwa peke yake bila wajumbe wengine wa kamati kuu. zaidi alikuwa na chawa wake.

2. Escape route; Mbowe anaonekana akiomba sapoti ya makazi kwa muda kwa moja ya balozi hapa nchini. Hii ndiyo njia itakayomrudisha mezani kwenye maridhiano.

3. We are not together; Tundu Lissu Anahamasisha Wananchi kuipa hamasa Taifa Stars huko Ivory Coast atakuwepo hadi tarehe 24 January. (Middle finger) siku ya Jana alifika kwenye kambi ya Taifa Stars na kuzungumza na wachezaji wa timu ya Taifa kuwapa moyo.

4. Disorganized; Mnyika anajibu hoja za taarifa ya maandamano ni maazimio ya kamati kuu. Ukweli anaujua ni taarifa anayo yeye yeye na Mbowe tu.

5. Business as usual;Lema ana share taarifa yupo CANADA na familia yake maisha yanaendelea kama kawaida. Ataandamana akiwa mbali. (business as usual

Ndiyo maana tunasema Tatizo lao linaanzia mbali sana, sio tu kwenye kujua sehemu ya kupeleka matatizo yao, nature ya matatizo yao pia hawayajui.!
Naona apunguza kuwatumia Padri Kitima na Askofu Shao kujijengea uhalali!!
 
Angekuwa tajiri asingekuwa anaiba ruzuku ya chama
Kumbuka ruzuku ni fedha ya umma, na matumizi yake hukaguliwa. Kwa vile nyie ccm mnajua Mbowe ameiba/anaiba ruzuku, kwanini hamchukui hatua yoyote wakati mna polisi, takukuru, jeshi, tiss, magereza nk. Mjinga mmoja alisema Samia kamhonga Mbowe mil. 150; je, kauli kama hiyo sio kuthibitisha kuwa Samia ni mtoa rushwa?
 
Naona Lumumba imeongeza maroboti mitandaoni,haswa baada ya tangazo la maandamano!!
 
Back
Top Bottom