Mbowe mpaka sasa kwenye ziara ya kidigital hajauliza alipo Ben Saanane

Ulikuwepo wewe shabiki maandazi?
 
Walitumiwaje??

Kwahiyo Pia Akwilina alitumiwa???

Kina Katambi nao walitumiwa?

Kwahiyo hata zama zile bunge limetiwa mfukoni ! Mbunge anavuliwa ubunge ila spika bado anamtambua unasema ni kutumiwa?

Mchakato wa wale CoVid-19 kuapishwa garage napo CHADEMA waliwatumia?

Mawakala waliotekwa na kura feki kupitishwa nao walikua wanatumiw na CHADEMA?

Kwahiyo mleta mada mambo kama hayo hapo pichani hukuyashuhudia?
 
Pesa za escrow si kaachiwa bwashee wenu Singa singa nyi mkafurahi
So huyo Muhindi ni Mwanachadema?

Je Tibaijuka aliyesema pesa za mboga ni mwanachadema pia??

Tibaijuka aliyesema haoni mantiki ya Chato kuwa mkoa ni mwanachadema pia?
 
So huyo Muhindi ni Mwanachadema?

Je Tibaijuka aliyesema pesa za mboga ni mwanachadema pia??

Tibaijuka aliyesema haoni mantiki ya Chato kuwa mkoa ni mwanachadema pia?
Huelewi nn mbona nyi ndo washangiliaji wakuu
 
Nakwasababu Mungu ndio Alpha na Omega

Akamnyakuwa mwendazake pia ili akajieleze, mamlaka ya kuondolea wengine life aliyapata wapi?

Sasa hivi kesi inaunguruma huko kwa Almighty God.
jiwe anajitetea kwa baba yake ulinichagua wewe mkuu shetani sasa mbona unanigeuka? Baba!!!

Shetani lile jamaa ni jeuri linampiga mdomo nyamaza uliwe!! Kenge wee!! Kwani hukujua??? Mungu aliwapa nafasi ya kutubu?? Ukadharau?
kwa nini hukujifunza kwa jakaya?? Yeye aliomba msamaha kwa ulimboka!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…