Ulikuwepo wewe shabiki maandazi?Mbona tumeanza tena kupangiana cha kufanya?? Mmesahau kuwa tumegawana majukumu? Wengine wanasifia ilhali sisi tunaponda?? Kama kazi zenu zimeisha semeni tuwape nyingine!
Mdude walipomkamata mara ya pili na kumweka kwenye gari walianza kumpiga kichwani na chupa na mateke alipopiga kelele “Mungu wangu” mmoja akamwambia “Mwambie aje akusaidie”
Baadaye walimng’ing’iniza na kumpiga shoti za umeme!
Wew ni hopeless kabisa
Walitumiwaje??As long as haipo kwenye interests zao hawawezi kuhoji kama ambavyo akina Mbowe sasa hivi wameufyata. Hao ndiyo wanasiasa, wanaangalia masilahi yao tu.
Enzi za Magufuli akina Mbowe walihoji kwa kuwa walijua wakifanya hivyo watanufaika, walikuwa na masilahi.
Ben, Azory, et al walitumiwa na CHADEMA, what a betrayal!
So huyo Muhindi ni Mwanachadema?Pesa za escrow si kaachiwa bwashee wenu Singa singa nyi mkafurahi
Kwa hiyo ilikuwa bonge ya muvi.....!!?Akiuliza ndio unapata faida gani? Taarifa zilizopo ni kwamba mwendazake aliifanya kazi kwa mikono yake yeye mwenyewe
Huelewi nn mbona nyi ndo washangiliaji wakuuSo huyo Muhindi ni Mwanachadema?
Je Tibaijuka aliyesema pesa za mboga ni mwanachadema pia??
Tibaijuka aliyesema haoni mantiki ya Chato kuwa mkoa ni mwanachadema pia?
Uliona mahali nimeshangilia??Huelewi nn mbona nyi ndo washangiliaji wakuu
jiwe anajitetea kwa baba yake ulinichagua wewe mkuu shetani sasa mbona unanigeuka? Baba!!!Nakwasababu Mungu ndio Alpha na Omega
Akamnyakuwa mwendazake pia ili akajieleze, mamlaka ya kuondolea wengine life aliyapata wapi?
Sasa hivi kesi inaunguruma huko kwa Almighty God.