Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Ndani ya Chadema ni jambo lisilotarajiwa kutaka mwenyekiti Mbowe "aondolewe"...
Nje ya Chadema ni jambo la hovyo kutaka hayo.
Katiba ya Chadema iheshimiwe
Katiba ya CCM nayo hivyo.
Vijana wenzangu tuheshimu katiba ya nchi.....
Kwani akina Zitto Kabwe walipotaka uongozi ndani ya CDM kwa njia za kidemokrasia tu hawakuvumiliwa na watu wa mwenyekiti wa muda mrefu mh.Mbowe.
#Nchi Kwanza😍
#Katiba ya nchi ni msahafu mtakatifu wa nchi 😍
#Al jumua Maqbool😍😍
Nje ya Chadema ni jambo la hovyo kutaka hayo.
Katiba ya Chadema iheshimiwe
Katiba ya CCM nayo hivyo.
Vijana wenzangu tuheshimu katiba ya nchi.....
Kwani akina Zitto Kabwe walipotaka uongozi ndani ya CDM kwa njia za kidemokrasia tu hawakuvumiliwa na watu wa mwenyekiti wa muda mrefu mh.Mbowe.
#Nchi Kwanza😍
#Katiba ya nchi ni msahafu mtakatifu wa nchi 😍
#Al jumua Maqbool😍😍