Eti kwa sababu ya uhuru wa kuongea leo marafiki wanavuana nguo mbele ya watoto!! Natamani ningekuwa na namba ya Mbowe nimuulize anajisokiaje. Je panauma au patamu!!!πππππ.
Ndiyo mjue kuwa kuna maneno mengine yanaudhi na yanaweza kukusababishia uchue maamuzi magumu ya kijinga!
Democrasia haikutakiwa kutufanya tuvue utu wetu na kuanzia kuvuana nguo mbele za watoto wetu na maadui wetu.