Mbowe na Nyalandu walitia nia ya kugombea urais katika mji mtakatifu Yerusalemu, nafasi ya Lisu kupitishwa ni ndogo!

Mbowe na Nyalandu walitia nia ya kugombea urais katika mji mtakatifu Yerusalemu, nafasi ya Lisu kupitishwa ni ndogo!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kiukweli nafasi ya Tundu Lisu kupitishwa na Chadema kuwa mgombea urais ni ndogo sana.

Washindani wa Lisu mh Mbowe na Nyalandu waliwahi kwenda katika hekalu la mfalme Suleiman mjini Yerusalemu ambako waliweka nia zao mbele ya Mwenyezi Mungu.

Nyalandu alisema wakati wanaweka nia zao kwa maandishi katika ule ukuta mtakatifu hakuna aliyejua mwenzake amenia nini lakini sasa jambo hilo limefunuliwa miongoni mwao.

Lisu angeomba ubunge ili panapo majaliwa awe waziri.

Maendeleo hayana vyama!
 
Labda Nyalandu, but not Mbowe, japo kidemokrasia anaruhusiwa, ila kwa nafasi yake ya sasa haimruhusu kiungwana tu, but maamuzi ya mwisho anayo Mbowe mwenyewe na chochote atakachoamua ni haki yake, kwani hakuna kanuni wala sheria yoyote inayombana asigombee Urais.
 
Ya Ngoswe muachie Ngoswe.
Tumbo liwaume CHADEMA, kuhara uhare wewe.

Nenda kafungue uzi wa kumsifia mtukufu.

CDM hapitishwi mtu. Kura zitaamua
 
Kila aina ya uzushi lakini hata hili la udini unaona uwapakazie tena chagadena? Hii sasa zaidi John. Mbona huwasemi wale walioenda kuungania kule kisiwandui ambao tangu m/k hadi karani ni wa dini moja?
 
Labda Nyalandu, but not Mbowe, japo kidemokrasia anaruhusiwa, ila kwa nafasi yake ya sasa haimruhusu kiungwana tu, but maamuzi ya mwisho anayo Mbowe mwenyewe na chochote atakachoamua ni haki yake, kwani hakuna kanuni wala sheria yoyote inayombana asigombee Urais.
Mwenye Sacco's yake ndio mwenye uamuzi [emoji23][emoji1787][emoji2960]
 
Hata shehe yahaya nae alikuwa mtabiri lakini hakuweza kutabir kifo chake suala la yerusalemu au kokote kule hakumfanyi mtu kushinda uchaguzi
 
Taarifa kama hii ukiona, unaangalia mwandishi ni nani halafu unaachana nayo maanake ni takataka tu.
 
Back
Top Bottom