Mbowe na Shehe Ponda ndio nguli Wawili nchini hawajawahi kusema Shujaa Magufuli ni Muuwaji, na hawajawahi kumtofautisha JPM na CCM!

Mbowe na Shehe Ponda ndio nguli Wawili nchini hawajawahi kusema Shujaa Magufuli ni Muuwaji, na hawajawahi kumtofautisha JPM na CCM!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Hii nchi kama Kuna Viongozi wasioyumba kikauli basi ni Mzee Kinana wa CCM na Shehe Ponda wa BAKWATA

Na Kiongozi pekee wa siasa asiyeishi na nongwa moyoni mwake ni Freeman Mbowe mnyasa wa Mbambabay aliyehamia Machame Kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chadema

Watatu Hawa hawajawahi kutamka popote pale kwamba Shujaa Magufuli ni Muuwaji

Siasa ni kimbilio la Mtu yoyote Lakini Wateule Wenye karama ni Wachache Sana sana na hawafiki 0.001% Kwa mujibu wa tafiti

Nawatakia Sabato ya Kwanza 2025 yenye Baraka 🌹😃
 
Hii nchi kama Kuna Viongozi wasioyumba kikauli basi ni Mzee Kinana wa CCM na Shehe Ponda wa BAKWATA

Na Kiongozi pekee wa siasa asiyeishi na nongwa moyoni mwake ni Freeman Mbowe mnyasa wa Mbambabay aliyehamia Machame Kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chadema

Watatu Hawa hawajawahi kutamka popote pale kwamba Shujaa Magufuli ni Muuwaji

Siasa ni kimbilio la Mtu yoyote Lakini Wateule Wenye karama ni Wachache Sana sana na hawafiki 0.001% Kwa mujibu wa tafiti

Nawatakia Sabato ya Kwanza 2025 yenye Baraka 🌹😃
Unatapatapa sana,ni kazi kubwa sana kumsafisha yule mwovu
 
Kwa mtazamo wangu....
Mbowe ni boonge la kiongozi mwenye hekma na husara tele.
Mbowe ni msikivu na mstahimilivu wa siasa za hii nchi, lakini kwasasa naona imetimia wakati sasa apishe kiti cha uongozi mkuu wa Chama.
Lisu ni mwana harakati na kidogo ni mkali kwa rasilimaliza taifa, pia ni mkweli kwa kiasi kikubwa isipokua hana kaba na hawezi kuzuwia kinywa chake kumlipua mbadhirifu ama mla rushwa na mwizi wa rasilimali za taifa hili.
Lakini kwa mtazamo wangu pia  Lisu hafai kua kiongozi mkuu wa chama.
 
Back
Top Bottom