Mbowe na Tundu Lissu, baada ya uchaguzi kupita, Mungu anataka muwe kitu kimoja kama zamani ili muwalindie watanzania hiki chama

Mbowe na Tundu Lissu, baada ya uchaguzi kupita, Mungu anataka muwe kitu kimoja kama zamani ili muwalindie watanzania hiki chama

eden kimario

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
10,356
Reaction score
16,379
Japokuwa kwa watu wa majira na nyakati wameshajua nani mshindi kwenye sanduku la kura, lakini pia mambo hubadilika kama mmoja wao akiamua kumuachia mwenzake.

Ila wakiendelea kugombea wote wawili na wakaingia kwenye kupigiwa kura, basi kuna mmoja ana neema zaidi ya mwingine kupitia mwaka huu wote wa 2025.

Hata mgombea urais wa nchi watampata kupitia hawa hawa wawili Mbowe na Tundu Lisu . kwa nini kwa sababu huu mwaka wote wana neema, japo mmoja wao ana neema zaidi kuliko mwingine. lakini muhimu ni uchaguzi huru na wenye haki.

Baada ya uchaguzi, muungane tena pamoja, kuhakikisha malengo ya chama hiki yanafikiwa ambayo ni kuongoza nchi na kuwaletea maendeleo watu.

Siku zote nchi ikikosa chama cha upinzani chenye nguvu kama CHADEMA, hiyo nchi ni mfu na haiwezi kuendelea.

Baada ya uchaguzi mje tena pamoja.

Ninawatakia uchaguzi mwema
 
ndio maana wanatakiwa kushikamana
tuwaombee
Hapo hata tulale makanisani na misikitini ni uongo!

Watanganyika hatujui faida za vyama vya upinzani ndani ya serikali ya ccm.
Tutajuta,wizi na ufisadi utakuwa mkubwa mnoo serikalini
 
Japokuwa kwa watu wa majira na nyakati wameshajua nani mshindi kwenye sanduku la kura, lakini pia mambo hubadilika kama mmoja wao akiamua kumuachia mwenzake.

Ila wakiendelea kugombea wote wawili na wakaingia kwenye kupigiwa kura, basi kuna mmoja ana neema zaidi ya mwingine kupitia mwaka huu wote wa 2025.

Hata mgombea urais wa nchi watampata kupitia hawa hawa wawili Mbowe na Tundu Lisu . kwa nini kwa sababu huu mwaka wote wana neema, japo mmoja wao ana neema zaidi kuliko mwingine. lakini muhimu ni uchaguzi huru na wenye haki.

Baada ya uchaguzi, muungane tena pamoja, kuhakikisha malengo ya chama hiki yanafikiwa ambayo ni kuongoza nchi na kuwaletea maendeleo watu.

Siku zote nchi ikikosa chama cha upinzani chenye nguvu kama CHADEMA, hiyo nchi ni mfu na haiwezi kuendelea.

Baada ya uchaguzi mje tena pamoja.

Ninawatakia uchaguzi mwema
hatimaye ni wakati wa mshikamano
 
Japokuwa kwa watu wa majira na nyakati wameshajua nani mshindi kwenye sanduku la kura, lakini pia mambo hubadilika kama mmoja wao akiamua kumuachia mwenzake.

Ila wakiendelea kugombea wote wawili na wakaingia kwenye kupigiwa kura, basi kuna mmoja ana neema zaidi ya mwingine kupitia mwaka huu wote wa 2025.

Hata mgombea urais wa nchi watampata kupitia hawa hawa wawili Mbowe na Tundu Lisu . kwa nini kwa sababu huu mwaka wote wana neema, japo mmoja wao ana neema zaidi kuliko mwingine. lakini muhimu ni uchaguzi huru na wenye haki.

Baada ya uchaguzi, muungane tena pamoja, kuhakikisha malengo ya chama hiki yanafikiwa ambayo ni kuongoza nchi na kuwaletea maendeleo watu.

Siku zote nchi ikikosa chama cha upinzani chenye nguvu kama CHADEMA, hiyo nchi ni mfu na haiwezi kuendelea.

Baada ya uchaguzi mje tena pamoja.

Ninawatakia uchaguzi mwema
ni ukweli usiopingika, mbingu zina upendeleo mkubwa sana na tundu lisu kuanzia sasa na kuendelea
 
Back
Top Bottom