Uchaguzi 2020 Mbowe na Zitto acheni ubinafsi wa Ubunge, piganieni Tanzania

Uchaguzi 2020 Mbowe na Zitto acheni ubinafsi wa Ubunge, piganieni Tanzania

Ne Mbwitu

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2020
Posts
275
Reaction score
802
Nimeshangazwa sana na hawa viongozi wakuu wa upinzani, badala ya kuwa bega kwa bega na wagombea wao wa urais, ubunge, na udiwani, eti nao wanatafuta Ubunge ili wakawe mawaziri wakuu au viongozi wa upinzani Bungeni.

Hongera sana Mnyika. Tunahitaji upinzani ambao una viongozi walio tayari kupoteza kitu kidogo ili wakomboe Watanzania.

Acheni tamaa ninyi viongozi.
 
Chifu Songea,

Hawa ni wasanii tu! Unadhani kama Mbowe angekuwa na uhakika wa kupata urais Lissu angesogea? Si uliona nafasi ya uenyekiti ilivyolindwa kwa kudhalilisha watu!
 
Na hiyo tabia ndio imeasababisha hadi sasa hivi CCM tayari ina wabunge 22 mkononi. Badala ya hao viongizi wawe busy kupigania wagombea wao wajaze form vizuri wao nao eti wanatafuta ugali kupitia majimbo.
 
Wewe ni jinga kabisa, mfumo wa Tanzania hatuchagui chama tunachaguwa mtu.

Uingereza ndio wanachaguwa chama, chama kikishinda kiongozi wake ndio anakuwa waziri mkuu na chama kilichoshika nafasi ya pili kiongozi wake ndio anakwenda kuwa KUB.

Sasa sielewi hizi shule mlikwenda kufanya nini kama ubongo wako umejaa fungus? Au una kaswende ya ubongo?
 
Nimeshangazwa sana na hawa viongozi wakuu wa upinzani, badala ya kuwa bega kwa bega na wagombea wao wa urais, ubunge, na udiwani, eti nao wanatafuta Ubunge ili wakawe mawaziri wakuu au viongozi wa upinzani Bungeni.

Hongera sana Mnyika. Tunahitaji upinzani ambao una viongozi walio tayari kupoteza kitu kidogo ili wakomboe Watanzania.

Acheni tamaa ninyi viongozi.
Wewe hujui unaandika nini, ulitaka wasigombee ubunge ili watembee na wagombea urais?! Acha fikra duni.
 
Back
Top Bottom