Mbowe ni mgumu kuelewa, watu kama hawa ni pasua kichwa, ushauri wa kuachia madaraka ulikuwa mzuri ili ufute kashfa ya uroho wa madaraka lakini haelewi

Mbowe ni mgumu kuelewa, watu kama hawa ni pasua kichwa, ushauri wa kuachia madaraka ulikuwa mzuri ili ufute kashfa ya uroho wa madaraka lakini haelewi

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Mbowe ni mgumu kuelewa, watu kama hawa ni pasua kichwa, ushauri wa kuachia madaraka ulikuwa mzuri ili ufute kashfa ya uroho wa madaraka lakini haelewi

Matokeo yake Wanachama pamoja na Wananchi watapoteza imani
Lakini pia CHADEMA itapuuzwa na CCM pale itakapokuwa ikiwanyooshea kidole kwa madai ya kuwa mambo mnayotunyooshea kidole ninyi mnayafanya pia

Lazima mtu atambue kuwa unapotaka kutoa boriti jicho la mwenzako hakikisha umetoa lako kwanza

Baba ukiwa malaya mwanao atasikilizaje ushauri wako pale atakapokuwa malaya? Sana sana atakuona huna lolote
 
Ccm watamtwanga kwa hoja mpaka atakaa kimya akose cha kuwajibu, kajimaliza mwenyewe automatically
 
Mbowe ni mgumu kuelewa, watu kama hawa ni pasua kichwa, ushauri wa kuachia madaraka ulikuwa mzuri ili ufute kashfa ya uroho wa madaraka lakini haelewi

Matokeo yake Wanachama pamoja na Wananchi watapoteza imani
Lakini pia CHADEMA itapuuzwa na CCM pale itakapokuwa ikiwanyooshea kidole kwa madai ya kuwa mambo mnayotunyooshea kidole ninyi mnayafanya pia

Lazima mtu atambue kuwa unapotaka kutoa boriti jicho la mwenzako hakikisha umetoa lako kwanza

Baba ukiwa malaya mwanao atasikilizaje ushauri wako pale atakapokuwa malaya? Sana sana atakuona huna lolote

Nkurunziza akuelewe vipi hapo?

Wengine kwenye listi ni PaKa, M7, Mugabe, Al Bashir, Putin, Kim, Xi, Jiwe, Bi Kisimkasi, Bongo, nk.

GgOt2QnaUAA9dOS.jpeg


Madaraka matamu sana.

Wenyewe husema term limit ni Kila uchaguzi ila wananchi huwarejesha madarakani.

Gfn6YE-XkAATunC.jpeg


Vivi Nkurunziza tnh black Mosses of our time.
 
Ni rahisi sana kusema wenzako waachie madaraka na wasiwe ving'ang'anizi, ila ikija zamu yako kufanya hivyo ni mzigo mzito na wachache wanauweza. Ndicho kinachomkuta Mbowe.
 
Ni rahisi sana kusema wenzako waachie madaraka na wasiwe ving'ang'anizi, ila ikija zamu yako kufanya hivyo ni mzigo mzito na wachache wanauweza. Ndicho kinachomkuta Mbowe.

Mn'ang'ania madaraka hafai hata uenyekiti wa mtaa!
 
Sema tu madaraka ndugu zangu ni matamu, halafu yanalevya. Hivi hata sisi usikute tunamlalamikia Kamanda Mbowe, ni kwa sababu tu hatujakaa kwenye kile kiti chake huku tumezungukwa na Makamanda walionona, wa Viti Maalum. 😋
 
Madaraka ni mazuri sana na ndo maana wahenga wakasema cheni ni zaman
 
Back
Top Bottom