Pre GE2025 Mbowe ni mkweli anamzidi Tundu Lissu kifedha tu lakini Mambo mengine yote Taaluma, Siasa, Harakati hata Kupendwa na Jamii hamfikii!

Pre GE2025 Mbowe ni mkweli anamzidi Tundu Lissu kifedha tu lakini Mambo mengine yote Taaluma, Siasa, Harakati hata Kupendwa na Jamii hamfikii!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mbowe ni Mkristo na anesema Ukweli kabisa kwamba alimsaidia Tundu Lisu kiuchumi Kwa muda mrefu

Binafsi nafahamu Watu wenye Fedha wanavyoweza kuwatumia kiujanja Watu wenye akili.

Hii ipo hata vyuoni unakuta Mtu mwenye Pesa anafanyiwa hadi test Ili kuimarisha course work

Itashangaza sana baada ya Mbowe kutambia Utajiri wake tuone Tundu Lisu anashinda 😂

Ila bila Nguvu ya Uchumi mkubwa Mshindi anajulikana kabisa

JPM: Watanzania siyo Wajinga

Ahsanteni Sana 😂😂
 
CCM hamna makamu mwenyekiti miezi 6 sasa mko busy kujadili mambo ya Chadema.

Mmemteka Mbowe na pesa za Abdul sasa mnataka Chadema iwe na maamuzi kama ya CCM.
 
Back
Top Bottom