G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Ukweli ni kuwa Mbowe aliamua kwa makusudi kutenga great thinkers wote ndani ya Chadema. Na kuna picha nilipost humu akiwa na machawa wake hii hapa.
Ukweli ni kuwa hii picha alikuwa kwenye kikao na machawa wake hawa kuandaa mpango wa kudili na watu. Ni kwenye kikao hiki ndipo alisema Lissu na Heche hawamfai. Likaanza zengwe.
Baadae Lema alipopata hizi habari akamvaa Mbowe kuwa analopanga halifai. Kitendo cha Lema kusema hivyo nae akawekwa kwenye list. Mbowe alihakikisha watu wote wanaompinga hawapenyi kwenye uongozi kuanzia mikoani mpaka kwenye kanda maana alikuwa hataki kuvuka nao kama viongozi.
Mbowe alilewa madaraka, baada ya kuona kila anayeondoka linatungwa zengwe na yeye anapenya (Rejea walioondoka huko nyuma) akaona na hili litapita maana anahisi chama alishakikumbatia.
Sisi tulishtukia usanii wake na tukamkataa. Ameona mambo magumu anakuja na kailani kamchongo ka kuunda tume ya upatanishi! Unafanya hivyo baada ya usanii wako kugundulika? Unafanya hivyo baada ya wanachama kukataa hila zako? Kwanini hukuona haya kabla? Unahangaika kutwa kucha ulidhani ni mzaha? Chama ni mali yako? Usijidanganye hata kidogo kuwa Chadema kinaweza kuwa kikundi chako na machawa wako kuunda miradi uchwara ili mtafune fedha za chama.
Tumekugundua tukakushtukia na kukushukia ghafla kama mwewe sasa unahangaika.
Sisi kauli yetu ni ile ile kuwa hapa ulipotufikisha tunashukuru. Kwenda huko mbele hatukutaki tena ukae mbele utuongoze maana una dosari nyingi kwa sasa.
Ukweli ni kuwa hii picha alikuwa kwenye kikao na machawa wake hawa kuandaa mpango wa kudili na watu. Ni kwenye kikao hiki ndipo alisema Lissu na Heche hawamfai. Likaanza zengwe.
Baadae Lema alipopata hizi habari akamvaa Mbowe kuwa analopanga halifai. Kitendo cha Lema kusema hivyo nae akawekwa kwenye list. Mbowe alihakikisha watu wote wanaompinga hawapenyi kwenye uongozi kuanzia mikoani mpaka kwenye kanda maana alikuwa hataki kuvuka nao kama viongozi.
Mbowe alilewa madaraka, baada ya kuona kila anayeondoka linatungwa zengwe na yeye anapenya (Rejea walioondoka huko nyuma) akaona na hili litapita maana anahisi chama alishakikumbatia.
Sisi tulishtukia usanii wake na tukamkataa. Ameona mambo magumu anakuja na kailani kamchongo ka kuunda tume ya upatanishi! Unafanya hivyo baada ya usanii wako kugundulika? Unafanya hivyo baada ya wanachama kukataa hila zako? Kwanini hukuona haya kabla? Unahangaika kutwa kucha ulidhani ni mzaha? Chama ni mali yako? Usijidanganye hata kidogo kuwa Chadema kinaweza kuwa kikundi chako na machawa wako kuunda miradi uchwara ili mtafune fedha za chama.
Tumekugundua tukakushtukia na kukushukia ghafla kama mwewe sasa unahangaika.
Sisi kauli yetu ni ile ile kuwa hapa ulipotufikisha tunashukuru. Kwenda huko mbele hatukutaki tena ukae mbele utuongoze maana una dosari nyingi kwa sasa.