Mbowe ni Mwanakulitaka Mwanakulipewa

Mbowe ni Mwanakulitaka Mwanakulipewa

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1,353
Reaction score
3,060
Nadhani mbowe alijidanganya na kujiona kua yeye ndo mwenye sauti ya Mwisho Chadema na kujiona yeye ndo mpanga safu ya uongozi ndani ya Chama kuanzia ngazi ya chini mpaka Juu


Yani unataka UwaondoeLissu,Heche,Lema na Msigwa kwenye Nafasi za uongozi kwa wakati mmoja? Alafu ubaki na wakina nani huu mkakati ni wanani, nani mshauri wako aliyekusha hivi?

Walikukosea nini hao watu wote kwa wakati mmoja? wamekubembeleza ukae nao Vikao muyamalize kwa kiburi na dharau umewapuuza,


Ile pres ya Lema Imemaliza maswali yote yaliyokua yamebaki
20250107_110222.jpg
 
Lema amesema wakileta mdomo mdomo wa kumjibu hasa machawa wa Mbowe ataita press nyingine ya kumfyatua Mbowe. Yaani kuna siraha ametunza za kummaliza Mbowe.

Sasa yote yaliyokua gizani yatawekwa hadharani.

Mbowe anadanganya umma kwamba wabunge 19 hawajui ila amekumbatia waume zao kama wasaidizi wake na washauri wake halafu utegemee hao waume wamuunge mkono Mbowe kuwatoa wake zao Bungeni?

Anasema wabunge 19 hawatambui huku usiku wako wote kwenye lounge wakinywa mvinyo.

Mbowe ni msanii.
 
Lema amesema wakileta mdomo mdomo wa kumjibu hasa machawa wa Mbowe ataita press nyingine ya kumfyatua Mbowe. Yaani kula siraha ametumza za kummaliza Mbowe.
Nasikia jana Mbowe sukari ilishuka sana kwa kauli hiyo ya Lemma kuwa kuna ndonga ameitunza ila ikibidi ataitumia kumaliza huu mchezo . Mbowe ni mtu hatari sana hiyo siri inayomfanya hadi sukari inashuka siyo ya kitoto.
 
Nadhani mbowe alijidanganya na kujiona kua yeye ndo mwenye sauti ya Mwisho Chadema na kujiona yeye ndo mpanga safu ya uongozi ndani ya Chama kuanzia ngazi ya chini mpaka Juu


Yani unataka UwaondoeLissu,Heche,Lema na Msigwa kwenye Nafasi za uongozi kwa wakati mmoja? Alafu ubaki na wakina nani huu mkakati ni wanani, nani mshauri wako aliyekusha hivi?

Walikukosea nini hao watu wote kwa wakati mmoja? wamekubembeleza ukae nao Vikao muyamalize kwa kiburi na dharau umewapuuza,


Ile pres ya Lema Imemaliza maswali yote yaliyokua yamebakiView attachment 3202566
Uchaguzi umefanyika tayari au bado
 
Hiii ya jana lema amefunua mengi mboe akishindwa wanaeza kumfukuza kwenye chama
 
Katika mtu ambaye hapati usingizi mzuri January hii ni Mbowe.
 
Nitalia sana mbowe akishinda,tunataka vichaa na vichwa ngumu kumtikisa yule mama
 
Back
Top Bottom