Pre GE2025 Mbowe: Onyo la Polisi ni mkakati wa makusudi wa Polisi kutafuta kisingizio cha kukamata na kutesa Wanachadema

Pre GE2025 Mbowe: Onyo la Polisi ni mkakati wa makusudi wa Polisi kutafuta kisingizio cha kukamata na kutesa Wanachadema

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Baada ya onyo la Polisi dhidi ya Wanachama wa CHADEMA waliodaiwa kuwa na mipango ya kuvamia vituo vya Polisi, Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe amesema hatua hiyo ni shambulio jingine la kizushi na chuki dhidi ya CHADEMA na viongozi wake na kuwa ni mkakati wa makusudi wa Polisi wa kutafuta kisingizio cha kukamata na kutesa Wanachadema kwa taarifa toka vyanzo vya uongo.

Aidha, amewataka Polisi kueleza hicho kikao cha Zoom kilifanywa na akina nani na kilikuwa na wajumbe gani!

Soma: Kuelekea 2025 - Jeshi la Polisi: Tumepata taarifa CHADEMA wanapanga Maandamano na Kuvamia Vituo vya Polisi Dar kwa wakati mmoja

Hata hivyo, amesema kuwa pamoja na CHADEMA kutokufanya kikao kinachodaiwa, Polisi itambue na kuheshimu haki ya makundi mengine ya kijamii kujadili utekaji nchini.

Amefafanua kuwa “Tuhuma hizi ni mkakati wa kukwepa kuueleza Umma walipo Viongozi wa CHADEMA, Deonis Kipanya, Deusdedith Soka, Jacob Mlay na Mbise”

Amemsihi Rais Samia kuelekeza Vyombo [vya Dola] vyake vieleze walipo vijana hawa na wengine wengi wanaoendelea kupotea nchi nzima.

Utekaji ni uhalifu na kamwe hauwezi kuwa mkakati wa kulinda amani ya nchi.
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema kwamba, Tamko la Polisi wa Tanzania kwamba Vijana wa Chama hicho wanapanga kuvamia vituo vya Polisi ni Uzushi wa Makusudi unalenga kuwapa uhuru polisi hao kukamata na kutesa Viongozi wa Chama hicho ili kuipa nafuu ccm

Amewataka Polisi hao kutoa Ushahidi hadharani kuhusu njama hizo.

Angalizo langu: Ushahidi huo usiwe kama ule wa Mwigulu na Ludovic Joseph ili kumkomoa Lwakatare

Screenshot_2024-08-30-15-39-43-1.png
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema kwamba, Tamko la Polisi wa Tanzania kwamba Vijana wa Chama hicho wanapanga kuvamia vituo vya Polisi ni Uzushi wa Makusudi unalenga kuwapa uhuru polisi hao kukamata na kutesa Viongozi wa Chama hicho ili kuipa nafuu ccm

Amewataka Polisi hao kutoa Ushahidi hadharani kuhusu njama hizo.

Angalizo langu: Ushahidi huo usiwe kama ule wa Mwigulu na Ludovic Joseph ili kumkomoa Lwakatare

View attachment 3082799
 

Attachments

  • VID-20240830-WA0027.mp4
    5.6 MB
Baada ya onyo la Polisi dhidi ya Wanachama wa CHADEMA waliodaiwa kuwa na mipango ya kuvamia vituo vya Polisi, Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe amesema hatua hiyo ni shambulio jingine la kizushi na chuki dhidi ya CHADEMA na viongozi wake na kuwa ni mkakati wa makusudi wa Polisi wa kutafuta kisingizio cha kukamata na kutesa Wanachadema kwa taarifa toka vyanzo vya uongo.

Aidha, amewataka Polisi kueleza hicho kikao cha Zoom kilifanywa na akina nani na kilikuwa na wajumbe gani!

Soma: Kuelekea 2025 - Jeshi la Polisi: Tumepata taarifa CHADEMA wanapanga Maandamano na Kuvamia Vituo vya Polisi Dar kwa wakati mmoja

Hata hivyo, amesema kuwa pamoja na CHADEMA kutokufanya kikao kinachodaiwa, Polisi itambue na kuheshimu haki ya makundi mengine ya kijamii kujadili utekaji nchini.

Amefafanua kuwa “Tuhuma hizi ni mkakati wa kukwepa kuueleza Umma walipo Viongozi wa CHADEMA, Deonis Kipanya, Deusdedith Soka, Jacob Mlay na Mbise”

Amemsihi Rais Samia kuelekeza Vyombo [vya Dola] vyake vieleze walipo vijana hawa na wengine wengi wanaoendelea kupotea nchi nzima.

Utekaji ni uhalifu na kamwe hauwezi kuwa mkakati wa kulinda amani ya nchi.
 

Attachments

  • IMG-20240830-WA0025.jpg
    IMG-20240830-WA0025.jpg
    404.8 KB · Views: 7
Huyu gaidi ajue bado anakesi

USSR
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema kwamba, Tamko la Polisi wa Tanzania kwamba Vijana wa Chama hicho wanapanga kuvamia vituo vya Polisi ni Uzushi wa Makusudi unalenga kuwapa uhuru polisi hao kukamata na kutesa Viongozi wa Chama hicho ili kuipa nafuu ccm

Amewataka Polisi hao kutoa Ushahidi hadharani kuhusu njama hizo.

Angalizo langu: Ushahidi huo usiwe kama ule wa Mwigulu na Ludovic Joseph ili kumkomoa Lwakatare

View attachment 3082799
Hii peke yake haitoshi, tunaitaka Chadema ilifungulie jeshi la Polisi kesi ya uchochezi na kuleta taharuki. Tangazo hili la Polisi ni nitice tsha ya kuwakamata, kuwateka na kisha kuwaua wana Chadema kwa kisingizio hicho cha kuvamia vituo vya polisi.
 
Baada ya onyo la Polisi dhidi ya Wanachama wa CHADEMA waliodaiwa kuwa na mipango ya kuvamia vituo vya Polisi, Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe amesema hatua hiyo ni shambulio jingine la kizushi na chuki dhidi ya CHADEMA na viongozi wake na kuwa ni mkakati wa makusudi wa Polisi wa kutafuta kisingizio cha kukamata na kutesa Wanachadema kwa taarifa toka vyanzo vya uongo.

Aidha, amewataka Polisi kueleza hicho kikao cha Zoom kilifanywa na akina nani na kilikuwa na wajumbe gani!

Soma: Kuelekea 2025 - Jeshi la Polisi: Tumepata taarifa CHADEMA wanapanga Maandamano na Kuvamia Vituo vya Polisi Dar kwa wakati mmoja

Hata hivyo, amesema kuwa pamoja na CHADEMA kutokufanya kikao kinachodaiwa, Polisi itambue na kuheshimu haki ya makundi mengine ya kijamii kujadili utekaji nchini.

Amefafanua kuwa “Tuhuma hizi ni mkakati wa kukwepa kuueleza Umma walipo Viongozi wa CHADEMA, Deonis Kipanya, Deusdedith Soka, Jacob Mlay na Mbise”

Amemsihi Rais Samia kuelekeza Vyombo [vya Dola] vyake vieleze walipo vijana hawa na wengine wengi wanaoendelea kupotea nchi nzima.

Utekaji ni uhalifu na kamwe hauwezi kuwa mkakati wa kulinda amani ya nchi.
Tuwe makini na watu tunaowakabidhi madaraka makubwa ya kuongoza nchi, kumpa mtu mwenye IQ ndogo kuongoza taifa ni janga kubwa, ni msiba, tunapelekwa shimoni
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema kwamba, Tamko la Polisi wa Tanzania kwamba Vijana wa Chama hicho wanapanga kuvamia vituo vya Polisi ni Uzushi wa Makusudi unalenga kuwapa uhuru polisi hao kukamata na kutesa Viongozi wa Chama hicho ili kuipa nafuu ccm

Amewataka Polisi hao kutoa Ushahidi hadharani kuhusu njama hizo.
Ukiwaona akina Tlaatlaah, Mwashambwa na wengine wanavyo hangaika humu JF, ujue hao ni sehemu ndogo tu ya makundi maalum ya uharibifu yaliyopo huko serikalini na CCM.

Ni dhahiri sasa kwamba kuna kundi maalum linalo shughulikia kuimaliza CHADEMA. Kundi hilo ndilo linalo buni na kuzua taarifa kama hizi.
Huko polisi kwenyewe kuna "Kikosi Kazi" cha kushughulikia CHADEMA kwa kisingizio cha yaliyo buniwa na wenzao ndani ya CCM na serikalini.

Kwa hiyo kuna mkakati unao eleweka vizuri hapa.

Ni wajibu wa CHADEMA kuwa eleza wananchi mbinu zote hizi zinazotumika kuwakwamisha.

Ni wananchi pekee ndio wenye uwezo wa kuwazuia hawa maharamia kuiteketeza CHADEMA.
 
Ukiwaona akina Tlaatlaah, Mwashambwa na wengine wanavyo hangaika humu JF, ujue hao ni sehemu ndogo tu ya makundi maalum ya uharibifu yaliyopo huko serikalini na CCM.

Ni dhahiri sasa kwamba kuna kundi maalum linalo shughulikia kuimaliza CHADEMA. Kundi hilo ndilo linalo buni na kuzua taarifa kama hizi.
Huko polisi kwenyewe kuna "Kikosi Kazi" cha kushughulikia CHADEMA kwa kisingizio cha yaliyo buniwa na wenzao ndani ya CCM na serikalini.

Kwa hiyo kuna mkakati unao eleweka vizuri hapa.

Ni wajibu wa CHADEMA kuwa eleza wananchi mbinu zote hizi zinazotumika kuwakwamisha.

Ni wananchi pekee ndio wenye uwezo wa kuwazuia hawa maharamia kuiteketeza CHADEMA.
Tuko kazini
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimekuwa na changamoto kadhaa ambazo zimechangia kupoteza imani ya wananchi. Hapa kuna baadhi ya maeneo ambayo wengi wanaona kama matatizo:

1. Uongozi na Uwajibikaji: Watu wengi wanakosoa ukosefu wa uwajibikaji ndani ya chama na viongozi wake. Wengi wanahisi kuwa viongozi hawawajali wananchi.

2. Uchumi: CCM imeshindwa kukabiliana na matatizo ya uchumi, kama umaskini na ukosefu wa ajira. Hali hii inachangia wananchi kutoridhika na utawala.

3. Demokrasia na Haki za Binadamu: Kuna malalamiko kuhusu ukandamizaji wa uhuru wa kujieleza na kukosekana kwa demokrasia halisi. Wananchi wanahisi kuwa sauti zao hazisikiliziwi.

4. Uteuzi wa Viongozi: Watu wengi wanakosoa mfumo wa uteuzi wa viongozi, wakisema unahitaji kubadilishwa ili kutoa nafasi kwa watu wenye uwezo.

5. Uhusiano na Wananchi: CCM imeonekana kutokuweka kipaumbele katika kushughulikia matatizo ya wananchi wa kawaida, jambo ambalo linazidisha kukosekana kwa uaminifu.

Kwa jumla, matatizo haya yanaweza kuchangia katika hali ya kukosekana kwa ushawishi na uhalali wa CCM miongoni mwa wananchi.
 
Tokea hapo kama sio kutumia nguvu ya dola ccm ilisha kataliwa na wananchi toka 2015, Lowasa aliwashinda lakini wakatangaza waliye mtaka kwa kuitumia dola, mwaka 2020, hapakua na uchaguzi dola iliamua kutangaza wagombea wote wa fisiem kama washindi.

Hawakuchaguliwa na wananchi bali walipora madaraka kwa nguvu ya dola
Kwa ujumla fisiem haina tena ushawishi ndani ya jamii ndio maana wana tumia mbinu za utekaji kwa wanao wakosoa ili kujenga hofu kwa watanzania
 
Back
Top Bottom