residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Huyu ndugu yangu Freeman Mbowe naamini ndiye recruiter bora kwa miongo 3 katika nchi hii (kwenye upande wa siasa).
Kwa nini serikali/system isimchukue na kumpa kitengo cha kutafuta vijana wenye uwezo, kuwapika na kisha tukapata wakina Lissu wengi, wakina Heche wengi, wakina Mnyika wengi, wakina Wenje wengi, kwa ajili ya kulitumikia taifa kizalendo!!?
CCM, ambayo imekuwa ikiunda serikali tangu tupate uhuru, haina mpango mkakati mwema wa kuibua vijana wenye vipawa na kuwatengeneza kwa ajili ya kulitumikia taifa kizalendo.
Tumeona vijana wengi walioibuliwa na kupikwa na CHADEMA (hasa hasa Mbowe binafsi), wamekuwa na uwezo mkubwa wa ujengaji hoja na kiuongozi.
Kwa nini tusimtumie Mbowe kitaifa katika kuibua vijana wengi na kuwapika kwa ajili ya kulitumikia taifa!!??
Mbowe amejitahidi sana kwenye hili la kuibua vijana wenye vipawa vya uongozi, lakini naona anakwama kwenye succession plan kama ambavyo Waafrika wengi tunavyokwama kwenye hili.
Kwa heshima kubwa naelekea kuonana na huyu ndugu yangu ili kumshawishi atengeneza mkakati wa kuendeleza ule mpango wake wa kuibua vijana wenye vipawa mabalimbali na aachane na hizi active party politics, hasa uongozi.
Kwa nini serikali/system isimchukue na kumpa kitengo cha kutafuta vijana wenye uwezo, kuwapika na kisha tukapata wakina Lissu wengi, wakina Heche wengi, wakina Mnyika wengi, wakina Wenje wengi, kwa ajili ya kulitumikia taifa kizalendo!!?
CCM, ambayo imekuwa ikiunda serikali tangu tupate uhuru, haina mpango mkakati mwema wa kuibua vijana wenye vipawa na kuwatengeneza kwa ajili ya kulitumikia taifa kizalendo.
Tumeona vijana wengi walioibuliwa na kupikwa na CHADEMA (hasa hasa Mbowe binafsi), wamekuwa na uwezo mkubwa wa ujengaji hoja na kiuongozi.
Kwa nini tusimtumie Mbowe kitaifa katika kuibua vijana wengi na kuwapika kwa ajili ya kulitumikia taifa!!??
Mbowe amejitahidi sana kwenye hili la kuibua vijana wenye vipawa vya uongozi, lakini naona anakwama kwenye succession plan kama ambavyo Waafrika wengi tunavyokwama kwenye hili.
Kwa heshima kubwa naelekea kuonana na huyu ndugu yangu ili kumshawishi atengeneza mkakati wa kuendeleza ule mpango wake wa kuibua vijana wenye vipawa mabalimbali na aachane na hizi active party politics, hasa uongozi.