johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Pombe imemuharibu huyo muhehe wa njombeMbona unalala mapema sana?
Shikamoo mjumbe ππMwamba tuvushe mpaka machame
Katiba hairuhusu kuwaamkia hivyo? Vitu vingine vidogo vidogo ni vyao kuacha tuMaji ya shingo..,.anataka kuwalaghai wajumbe
Mko vizuri πMwenyekiti wa Chadema alipotambulishwa mbele ya Baraza Kuu na katibu mkuu mh Mnyika alisimama na kuwaamkia Wajumbe
Mbowe: Shikamoo Wajumbe
Chadema imeelekezwa kibra na TAL dadeki ππ
Sisi CCM tunarekodi Kila sentenso
Mlale Unono ππΉ
Sifa kuu ya kula ukoko ni kulala mapema .......maana unakuwa kama umekula kitu kinacho levya........mina shangaa wanywa beer πΊ kuleni ukoko mlewe mtunze amana zenu na sifuri zenu maana tumechoka kuwabakaMbona unalala mapema sana?
Katoa shikamoo kwa wajumbe sio propaganda
FAM mbona uso wake unaonekana tuu unepoteza nuru inaonekana kuna kitu hakipo Sawa.bila kupinga mzee wetu mbowe alikuwa amelewa signs of stress hawawezi kuhandle hii pressure akiwa na utimamu wake