Mbowe: Tulianza kuona matunda ya demokrasia katika nchi yetu lakini ghafla ule uimara haujawa endelevu

Mbowe: Tulianza kuona matunda ya demokrasia katika nchi yetu lakini ghafla ule uimara haujawa endelevu

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe akizungumza katika mkutano wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) ambao umewakutanisha wadau mbalimbali amesema Katika kipindi kifupi ambacho tulishaanza kuona matunda ya demokrasia katika nchi yetu, kwamba kiwango kikubwa uhuru wa kufanya siasa ikiwamo kufanya mikutano ya hadhara, maandamano yalifanyika nchi nzima kwa amani kubwa sana.

Kwa ushirikiano mkubwa kati ya vyama vya siasa na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kazi za siasa zikafanyika bila kuwa na tabu yoyote, tukaanza kuamini tunajenga utaratibu ulio bora, unaoliopeleka taifa letu katika chaguzi ambazo zitatupatia viongozi watokanao na mapenzi ya wananchi. Pamoja na hofu nyingi kutokana na kanuni na taratibu zetu zote za uchaguzi, angalau kwa nje palionekana pana utulivu na kazi za siasa zilifanyika"

"Lakini ghafla ule uimara tuliokuwa tunaupata katika taifa haujawa endelevu, tukaanza kuona kukamatwa kwa viongozi wetu (CHADEMA) na kupigwa na vyombo vya dola, na mpaka leo wahusika wapo na ikaonekana ni jambo la kawaida na ni haki ya makundi fulani kukabiliana na adhabu kama hizo.

Soma Pia:
 
Screenshot_2024-07-01-01-38-47-880_com.twitter.android.jpg
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe akizungumza katika mkutano wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) ambao umewakutanisha wadau mbalimbali amesema Katika kipindi kifupi ambacho tulishaanza kuona matunda ya demokrasia katika nchi yetu, kwamba kiwango kikubwa uhuru wa kufanya siasa ikiwamo kufanya mikutano ya hadhara, maandamano yalifanyika nchi nzima kwa amani kubwa sana.

Kwa ushirikiano mkubwa kati ya vyama vya siasa na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kazi za siasa zikafanyika bila kuwa na tabu yoyote, tukaanza kuamini tunajenga utaratibu ulio bora, unaoliopeleka taifa letu katika chaguzi ambazo zitatupatia viongozi watokanao na mapenzi ya wananchi. Pamoja na hofu nyingi kutokana na kanuni na taratibu zetu zote za uchaguzi, angalau kwa nje palionekana pana utulivu na kazi za siasa zilifanyika"

"Lakini ghafla ule uimara tuliokuwa tunaupata katika taifa haujawa endelevu, tukaanza kuona kukamatwa kwa viongozi wetu (CHADEMA) na kupigwa na vyombo vya dola, na mpaka leo wahusika wapo na ikaonekana ni jambo la kawaida na ni haki ya makundi fulani kukabiliana na adhabu kama hizo.

"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the Government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, a former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe akizungumza katika mkutano wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) ambao umewakutanisha wadau mbalimbali amesema Katika kipindi kifupi ambacho tulishaanza kuona matunda ya demokrasia katika nchi yetu, kwamba kiwango kikubwa uhuru wa kufanya siasa ikiwamo kufanya mikutano ya hadhara, maandamano yalifanyika nchi nzima kwa amani kubwa sana.

Kwa ushirikiano mkubwa kati ya vyama vya siasa na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kazi za siasa zikafanyika bila kuwa na tabu yoyote, tukaanza kuamini tunajenga utaratibu ulio bora, unaoliopeleka taifa letu katika chaguzi ambazo zitatupatia viongozi watokanao na mapenzi ya wananchi. Pamoja na hofu nyingi kutokana na kanuni na taratibu zetu zote za uchaguzi, angalau kwa nje palionekana pana utulivu na kazi za siasa zilifanyika"

"Lakini ghafla ule uimara tuliokuwa tunaupata katika taifa haujawa endelevu, tukaanza kuona kukamatwa kwa viongozi wetu (CHADEMA) na kupigwa na vyombo vya dola, na mpaka leo wahusika wapo na ikaonekana ni jambo la kawaida na ni haki ya makundi fulani kukabiliana na adhabu kama hizo.
Mjinga huyu hajui wao ndio wanasumbua ,walianza kusema Kikwete akitoka siasa zitakuwa sawa akaondoka wakashukuru, alipojuka Magufuli mwanzoni pia walimsifia alivyo simamia sheria wakasema hafai bora aje mwingine alipokuja mwingine Samia walisema sasa serkali iko imara mama ndio Rais bora wa Tanzania kwa demokrasia na utawala wa sheria sasa amesimamia sheria hizo hizo wanasema wanakamatwa haiwezekani mtu amtukane rais Samia mara kibibi,hana akili ,msagaji, kichwa kimejaa matope kisha akae mtaani kwa amani as if nothing has happened, Mbowe zero aache ujinga

USSR
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe akizungumza katika mkutano wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) ambao umewakutanisha wadau mbalimbali amesema Katika kipindi kifupi ambacho tulishaanza kuona matunda ya demokrasia katika nchi yetu, kwamba kiwango kikubwa uhuru wa kufanya siasa ikiwamo kufanya mikutano ya hadhara, maandamano yalifanyika nchi nzima kwa amani kubwa sana.

Kwa ushirikiano mkubwa kati ya vyama vya siasa na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kazi za siasa zikafanyika bila kuwa na tabu yoyote, tukaanza kuamini tunajenga utaratibu ulio bora, unaoliopeleka taifa letu katika chaguzi ambazo zitatupatia viongozi watokanao na mapenzi ya wananchi. Pamoja na hofu nyingi kutokana na kanuni na taratibu zetu zote za uchaguzi, angalau kwa nje palionekana pana utulivu na kazi za siasa zilifanyika"

"Lakini ghafla ule uimara tuliokuwa tunaupata katika taifa haujawa endelevu, tukaanza kuona kukamatwa kwa viongozi wetu (CHADEMA) na kupigwa na vyombo vya dola, na mpaka leo wahusika wapo na ikaonekana ni jambo la kawaida na ni haki ya makundi fulani kukabiliana na adhabu kama hizo.

Soma Pia:
ni vizuri chairman Mbowe akaanza kangalia na kuzingatia kwanza demokrasia kuanzia aliposimama yeye pale chadema. Je, ipo ?

au demokrasia ni chadema kupata chuki na mihemko baada ya vyama vya siasa 13 kuiunga mkono CCM?

au demokrasia anaiona nje ya Chadema Pekee? 🐒
 
ni vizuri chairman Mbowe akaanza kangalia na kuzingatia kwanza demokrasia kuanzia aliposimama yeye pale chadema. Je, ipo ?

au demokrasia ni chadema kupata chuki na mihemko baada ya vyama vya siasa 13 kuiunga mkono CCM?

au demokrasia anaiona nje ya Chadema Pekee? 🐒
Inaonekana yeye hanunuliki kama wale wengine na wakampenda aendelee kuimarisha Chama chao. Au ananunulika?
 
ni vizuri chairman Mbowe akaanza kangalia na kuzingatia kwanza demokrasia kuanzia aliposimama yeye pale chadema. Je, ipo ?

au demokrasia ni chadema kupata chuki na mihemko baada ya vyama vya siasa 13 kuiunga mkono CCM?

au demokrasia anaiona nje ya Chadema Pekee? 🐒
kweli wewe ni !Binadamu ya mavi ya kuku

in Mwai kibaki’s voice

hujui lolote wewe ni tabulele
 
Mjinga huyu hajui wao ndio wanasumbua ,walianza kusema Kikwete akitoka siasa zitakuwa sawa akaondoka wakashukuru, alipojuka Magufuli mwanzoni pia walimsifia alivyo simamia sheria wakasema hafai bora aje mwingine alipokuja mwingine Samia walisema sasa serkali iko imara mama ndio Rais bora wa Tanzania kwa demokrasia na utawala wa sheria sasa amesimamia sheria hizo hizo wanasema wanakamatwa haiwezekani mtu amtukane rais Samia mara kibibi,hana akili ,msagaji, kichwa kimejaa matope kisha akae mtaani kwa amani as if nothing has happened, Mbowe zero aache ujinga

USSR
sasa mbiwe na wewe nani mjinga?

mjinga anayekutetea wewe au wewe unaekataa kutetewa ilihali mali kubwa jnayomiliki ni smartphone ya Tecno
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe akizungumza katika mkutano wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) ambao umewakutanisha wadau mbalimbali amesema Katika kipindi kifupi ambacho tulishaanza kuona matunda ya demokrasia katika nchi yetu, kwamba kiwango kikubwa uhuru wa kufanya siasa ikiwamo kufanya mikutano ya hadhara, maandamano yalifanyika nchi nzima kwa amani kubwa sana.

Kwa ushirikiano mkubwa kati ya vyama vya siasa na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kazi za siasa zikafanyika bila kuwa na tabu yoyote, tukaanza kuamini tunajenga utaratibu ulio bora, unaoliopeleka taifa letu katika chaguzi ambazo zitatupatia viongozi watokanao na mapenzi ya wananchi. Pamoja na hofu nyingi kutokana na kanuni na taratibu zetu zote za uchaguzi, angalau kwa nje palionekana pana utulivu na kazi za siasa zilifanyika"

"Lakini ghafla ule uimara tuliokuwa tunaupata katika taifa haujawa endelevu, tukaanza kuona kukamatwa kwa viongozi wetu (CHADEMA) na kupigwa na vyombo vya dola, na mpaka leo wahusika wapo na ikaonekana ni jambo la kawaida na ni haki ya makundi fulani kukabiliana na adhabu kama hizo.

Soma Pia:
Sasa kama Miti ya Matunda yenyewe haikupandwa kwenye Ardhi yenye Rutuba na udongo ulio imara, si ni lazima itaugua na hatimaye kunyauka na kutoweka. Nyie kama mlifurahi kuona na kuonja matunda tu bila ya kukumbuka kurutubisha ardhi ili hiyo miti ya matunda iendelee kutoa hayo matunda , ni kosa lenu. Mkulima mzuri ni yule anayehakikisha kuwa mimea yake inaoteshwa kwenye ardhi nzuri na yenye rutuba ili iendelee kumzalia matunda. Siyo kufrahia matunda tu ! Mimea huhitaji kupaliliwa na kurutubishwa, nyie hicho kipnegere mlikitelekeza na matoke yake sasa hayo matunda yamenza kupotea na karibia miti yake itanyauka kabisa, kama hamtachukua hatua za dhati kuipalilia na kuiwekea mbolea. Pole sana Kamanda Mbowe. Chukua hatua za haraka kunusuru hiyo mimea ili matunda yasipotee kabisa.
 
Matunda ya democrasia ni kuandamana na kufanya mikutano……Its more than That aseee….uwajibakaji,maendeleo ndo maana ya democrasia
 
ni vizuri chairman Mbowe akaanza kangalia na kuzingatia kwanza demokrasia kuanzia aliposimama yeye pale chadema. Je, ipo ?

au demokrasia ni chadema kupata chuki na mihemko baada ya vyama vya siasa 13 kuiunga mkono CCM?

au demokrasia anaiona nje ya Chadema Pekee? 🐒
Tuheshimu mawazo ya wengine. Siyo lazima wote waunge mkonoe rangi ya Kijani. Demokrasia maana yake ni nini? au unafikilia ni kushiriki khagua na kuchaguliwa tu. It is broader than that, na huenda hawa ndugu ndicho wanachopambania, kwa maslahi mapana ya nchi. Ile misingi mikuu ya demokrasia na mazingira wezeshi na fair.
 
sasa mbiwe na wewe nani mjinga?

mjinga anayekutetea wewe au wewe unaekataa kutetewa ilihali mali kubwa jnayomiliki ni smartphone ya Tecno
Kajifunze kwanza kuandika,Mbowe labda anamtetea mamako

USSR
 
Msababishaji Mbowe mwenyewe na Chadema kutopenda siasa za kistaarabu

Kikwete aliwalea vizuri tu akawakaribisha hadi chai ikulu hawakuwa na shukrani wakataka kumnyea kichwani matusi kama yote walimtukana ,gujuma kama zote ,ku anzisha migomo ya madktari kama yote wagonjwa wakafa kwa mia nk

Wao ndio wajiulize ndio visababishi.mbona ACT wazakendo imetoa hadi viongozi wa serikali Zanzibar?

Approach yao kwa siasa za Tanzania hawako sawa.Shari Tanzania hatuna mpango nazo
 
Tuheshimu mawazo ya wengine. Siyo lazima wote waunge mkonoe rangi ya Kijani. Demokrasia maana yake ni nini? au unafikilia ni kushiriki khagua na kuchaguliwa tu. It is broader than that, na huenda hawa ndugu ndicho wanachopambania, kwa maslahi mapana ya nchi. Ile misingi mikuu ya demokrasia na mazingira wezeshi na fair.
nakubaliana nawe sana katika suala la kuheshimu mawazo, maoni na mtazamo wa wengine kuhusu jambo lolote lile. Hiyo ni haki na uhuru wa kila moja wetu.

na hakuna haja kujenga chuki dhidi ya tuliotofautiana nao kimtazamo. hiyo haifa kabisa..

Na itapendeza zaid, ikiwa mwenye uhalali zaidi wa kuizungumzia demokrasia ni vema akaiishi hiyo demokrasia hasa kuanzia nyumbani kwake, na hiyo itapendeza zaidi...

hii ya habari ya kuhubiri demokrasia nje ya nyumbani kwako hali yakua kwako hakuna demokrasia ni ulaghai wa wazi wazi kibisa na hakubaliki hata kidogo 🐒
 
MBOWE peponi atakaa pembeni ya Yesu, MBOWE ni mtetezi wa Mazuzumagic wengi waliopo CCM ambao wanakandamizwa na hawajui kama wanatakiwa kuyafaidi matunda ya Uhuru kama wanavyofaidi watoto wa wakubwa, mfano, Ridhwani, Abduli, Nape Nnauye, January Makamba na wenginewe
 
Inaonekana yeye hanunuliki kama wale wengine na wakampenda aendelee kuimarisha Chama chao. Au ananunulika?
ndio maana siku moja niliuliza ile chama ni saccos au au ni kampuni ya mtu ya kutengeneza pesa...

kwahiyo kuna biashara pale, right? kwamba kuna kununua na kuuza ama?

embu eleza hii kwa kina kifupi kidogo kwa faida ya wadau gentleman 🐒
 
Msababishaji Mbowe mwenyewe na Chadema kutopenda siasa za kistaarabu

Kikwete aliwalea vizuri tu akawakaribisha hadi chai ikulu hawakuwa na shukrani wakataka kumnyea kichwani matusi kama yote walimtukana ,gujuma kama zote ,ku anzisha migomo ya madktari kama yote wagonjwa wakafa kwa mia nk

Wao ndio wajiulize ndio visababishi.mbona ACT wazakendo imetoa hadi viongozi wa serikali Zanzibar?

Approach yao kwa siasa za Tanzania hawako sawa.Shari Tanzania hatuna mpango nazo
UWT mpo vizuri lakini nchi siyo mali yenu pekee
 
Back
Top Bottom