Mbowe: Tunaipa Serikali watueleze watoto, Viongozi wetu na wanachama wetu wako wapi Kufikia 21 Septemba, 2024

Mbowe: Tunaipa Serikali watueleze watoto, Viongozi wetu na wanachama wetu wako wapi Kufikia 21 Septemba, 2024

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Vikao vya CHADEMA vimesema 'This Must Come to an End', lazima jambo hili lifike mwisho, na kwa sababu wao wamekataa kulifikisha mwisho, sisi tutawalazimisha walifikishe mwisho. Ili tufanikiwe hili, ndugu zangu Wanachadema tunahitaji kuwa kitu kimoja, kila mmoja wetu anapaswa kuwa bega la kulillia mwenzake, 'a crying shoulder to any of us', na tukubaliane kwamba kila tone la damu ya mwanachadema inayopotea tutaitetea kwa nguvu kubwa bila kuogopa

Tunaipa Serikali mpaka siku ya jumamosi ya tarehe 21 ya mwezi huu wa tisa watueleze watoto wetu, wanachama wetu na viongozi wetu niliwataja hapa wako wapi? na watuambie wawalejeshe wakiwa salama kama awawaleshi wakiwa salama waturejeshe wakiwa mauti kama awawezi kuturejeshe kwenye umauti watuambie wamekwenda kuwatupa wapi? au kuwapotezea wapia?

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe akizungumza na wanahabari.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Vikao vya CHADEMA vimesema 'This Must Come to an End', lazima jambo hili lifike mwisho
 
Mbowe hana impact why amekuwa laini kiasi hicho? na anapaswa kuweka bayana , Adui yao ni nani ? Je Madam Hassan hajiamini kurejea? Ni udhaifu wake binafsi ndani ya koti la mwanamke? Ni vita vya kufanikisha kuimarisha na kuirudisha Tanganyika? Je ni harakati za kumstaafisha mwakani? Je ni vita kwa kuwa anataka nafasi ambayo watu walikuwa na malengo nayo na mipango ya urais wa 2025?

Chadema inapaswa kusema wazi ambae hana uvumilivu na ukomavu wa kusemwa ni nani ambae anaathirika na maneno yao na maandiko yao.

Je, kweli CCM ina uoga wa aina hio , this can't be serious na kama ni hivyo bora hata ya wakoloni enzi hizo
 
Back
Top Bottom