Rozela
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 845
- 2,235
Katika kukiunganisha chama na kuondoa tofauti zetu, tafadhali sana Mh. Freeman Mbowe, mara baada ya kushinda kwa kishindo katika nafasi ya uenyekiti, mteue ndugu Halima Mdee kuwa katibu mkuu wa chama.
Mbali na kukiunganisha chama, utakuwa umezingatia genda. Pia itaonesha kuwa wewe ni mlezi mwenye busara.
Tunasubiri kwa hamu tamko la wabunge wetu siku ya jumatatu ili safari ya kampeni ianze kwa kishindo
www.jamiiforums.com
Mbali na kukiunganisha chama, utakuwa umezingatia genda. Pia itaonesha kuwa wewe ni mlezi mwenye busara.
Tunasubiri kwa hamu tamko la wabunge wetu siku ya jumatatu ili safari ya kampeni ianze kwa kishindo
Tetesi: - Wabunge 19 wa CHADEMA maarufu kama COVID 19 kutoa tamko la kumuunga mkono Mh. Freeman Mbowe siku ya Jumatatu
Fedha za Abdul bado zinazungushwa na Wenje. Kwann kila mtu mwenye unasaba na ccm anamuunga mkono Mbowe? Bila shaka Mbowe ni duka kubwa lililotumiwa na ccm kununulia wapinzani. Na hii itathibitisha pasipo shaka kuwa covid 19 walipelekwa na Mbowe bungeni. Toeni kila aina ya Mlio ila CHADEMA ni...