Pre GE2025 Mbowe usiku anaomba kura kwa kuzungumzia kuingia uchaguzi ila kukipambazuka anasema no reforms no election

Pre GE2025 Mbowe usiku anaomba kura kwa kuzungumzia kuingia uchaguzi ila kukipambazuka anasema no reforms no election

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
huo uchaguz wanafanya uck wa manane au mana naona cku ishapinduka bado t, c wngetuambia uchaguz wa m/kiti n tar22 t.
 
Mfahamu sultan ibn mbowe king'ang'anizi
IMG-20241206-WA0083(1).jpg
 
Mbowe kamtuma Boniface na kamati ya Roho mbaya inayoongozwa na mdee wamwibie kura kwa habari za uhakika Iisu ataporwa ushindi kwa njia haramu za kishetani
 
Mbowe anajivunia kumjenga Halima Mdee.

Kama hivyo Halima Mdee alivyo ni matunda ya kazi ya mwenyekiti, basi ni ushahidi kuwa Mwenyekiti hafai maana amejenga mtu tapeli.
 
No elections no ruzuku, unafikiri chama kitajiendesha ?
 
Mbowe hana msimamo thabiti kuhusu kushiriki uchaguzi. Heche na Lissu wana kauli thabiti kuhusu no reform, no election.
 
Nimemsikiliza mbowe, analialia Hana jipya, Mbowe akirudi Tena, ccm itashinda kwa 90%
 
Mbowe hoja yake ni kuwajenga Lissu na Mdee na wanachadema kibao waliohamia CCM.

Sasa kwani yeye kajengwa na nani, mbona hao waliomjenga hawakutaka kuongoza kwa miaka 26?
 
Back
Top Bottom