Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
unamuuliza wakati UNAJUA hana chakeNimeshangaa wajumbe hakuna aliyeweza kumuuliza swali msimamo wake n upi.wajumbe wa chadema nao kumbe hopeless
Taifa hili mbumbumbu ni wengi mnooNimeshangaa wajumbe hakuna aliyeweza kumuuliza swali msimamo wake n upi.wajumbe wa chadema nao kumbe hopeless
Yupo mbioni kupora ushindi wa Lisu kwa kuwatumia kamati ya Roho mbaya chini ya uongozi wa Mdee Boniface sugu Wilium mungai na wale wale wabunge haramu 19Mfahamu sultan ibn mbowe king'ang'anizi
View attachment 3209411
Mbowe kafika mwisho, wajumbe wakikosea wasitafute mchawiMbowe hoja yake ni kuwajenga Lissu na Mdee na wanachadema kibao waliohamia CCM.
Sasa kwani yeye kajengwa na nani, mbona hao waliomjenga hawakutaka kuongoza kwa miaka 26?