Kaa mstari wa mbele ili nimwoe mkeo baada ya maandamano
Labda muandamane hapa JF. Ila kwenye ground hamuwezi kujitokeza.Wanaume Huwa hatuogopi mkuu ni ninyi tu mliopoteza sifa ya kuwa wanaume ndo mnawaza kukaa mstari wa mbele au wa nyuma.
Tumedhamilia liwalo na liwe
Sawa dada. Msalimie mmeoLabda muandamane hapa JF. Ila kwenye ground hamuwezi kujitokeza.
Mwenzie yuko hai. Mtishaji akafa kifo cha kijnga na cha kikondoo kabisa utafikiri hakuwa Rais wa nchi...Aliufyata Mbowe
Lakini kufa wote tutakufa ila mbowe aliufyata mbele ya mwamba jiwe kafa yesu sembuse jiwe?Mwenzie yuko hai. Mtishaji akafa kifo cha kijnga na cha kikondoo kabisa utafikiri hakuwa Rais wa nchi...
Nakuuliza tena kati ya Freema Mbowe na Magufuli, nani aliufyata...?
Bila shaka ni yule aliyejifanya mbabe lakini akafa kijinga....
Mwingine wa kwenda kuzika si muda mrefu ni Samia Suluhu Hassan.....!!
Bila kuchukua hatua serious, majambazi na magaidi ya kidola yataendelea kumwaga damu za ndugu zetu...Hakuna kurudi nyuma Hizi siasa za ulaghai zinazofanywa na watawala, hazikubaliki hata kidogo. Maandamano ndiyo njia sahihi ya wazi kuthibitisha hisia walizo nazo wananchi. Polisi wajiandae kusimamia maandamano kama sheria inavyotaka. Kama hawana muda, kwa sababu wapo busy na utekaji, wautaarifu umma ili umma ujisimamie wenyewe.
Kaongea kweli kweli, ni muhimu wenye dhamana wakayatafakari kwa kina kabisa, tatizo wameamua kutokusikiliza.Maneno MAZITO SANA