Mbowe waombe radhi wana CHADEMA, bado wana makovu moyoni

Mbowe waombe radhi wana CHADEMA, bado wana makovu moyoni

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
3,474
Reaction score
3,744
Wasalaam.

Ni kawaida katka nchi yoyote ile duniani kuwa na majasusi wa kufanikisha mikakati na malengo ya nchi husika. Halikadhalika katika vyama vya siasa vyenye malengo ya kushika dola kuna majasusi kuhakikisha malengo yanatimia.

Inasikitisha kwa miaka 20 mh mbowe amekua jasusi wa ccm ndani ya chadema hivyo kukwamisha na kuvujisha mipango yote ya kuiondoa ccm madarakani.

Wanachadema wamekuja kustuka tayari wameshapoteza wanachama wengi kwa kuuwawa na wengine wamepotezwa haijulikani wako hai au ni marehemu.

Kwa usaliti huu wa mbowe ndio sababu mpaka leo:-
1. Hakuna uchunguzi juu ya kupotea bernsanane.
2. Hakuna uchunguzi kushambuliwa mh lissu.
3. Hakuna uchunguzi kuuwawa kwa mzee kibao.
4. Uwepo wa wabunge covid 19 n.k
Kwa usaliti huo ni vema bwana mbowe atoke hadharani awaombe radhi wana chadema aliwakosea pakubwa, kawaumiza wanachadema.
 
Wasalaam.

Ni kawaida katka nchi yoyote ile duniani kuwa na majasusi wa kufanikisha mikakati na malengo ya nchi husika. Halikadhalika katika vyama vya siasa vyenye malengo ya kushika dola kuna majasusi kuhakikisha malengo yanatimia.

Inasikitisha kwa miaka 20 mh mbowe amekua jasusi wa ccm ndani ya chadema hivyo kukwamisha na kuvujisha mipango yote ya kuiondoa ccm madarakani.

Wanachadema wamekuja kustuka tayari wameshapoteza wanachama wengi kwa kuuwawa na wengine wamepotezwa haijulikani wako hai au ni marehemu.

Kwa usaliti huu wa mbowe ndio sababu mpaka leo:-
1. Hakuna uchunguzi juu ya kupotea bernsanane.
2. Hakuna uchunguzi kushambuliwa mh lissu.
3. Hakuna uchunguzi kuuwawa kwa mzee kibao.
4. Uwepo wa wabunge covid 19 n.k
Kwa usaliti huo ni vema bwana mbowe atoke hadharani awaombe radhi wana chadema aliwakosea pakubwa, kawaumiza wanachadema.
Kwa maana hiyo Mbowe ni mkubwa kuliko serikali?
 
Wasalaam.

Ni kawaida katka nchi yoyote ile duniani kuwa na majasusi wa kufanikisha mikakati na malengo ya nchi husika. Halikadhalika katika vyama vya siasa vyenye malengo ya kushika dola kuna majasusi kuhakikisha malengo yanatimia.

Inasikitisha kwa miaka 20 mh mbowe amekua jasusi wa ccm ndani ya chadema hivyo kukwamisha na kuvujisha mipango yote ya kuiondoa ccm madarakani.

Wanachadema wamekuja kustuka tayari wameshapoteza wanachama wengi kwa kuuwawa na wengine wamepotezwa haijulikani wako hai au ni marehemu.

Kwa usaliti huu wa mbowe ndio sababu mpaka leo:-
1. Hakuna uchunguzi juu ya kupotea bernsanane.
2. Hakuna uchunguzi kushambuliwa mh lissu.
3. Hakuna uchunguzi kuuwawa kwa mzee kibao.
4. Uwepo wa wabunge covid 19 n.k
Kwa usaliti huo ni vema bwana mbowe atoke hadharani awaombe radhi wana chadema aliwakosea pakubwa, kawaumiza wanachadema.
Lissu kaingia, kuingia anamkuta rafiki yake Dr Slaa yuko rupango, kanusa kidogo kesi akaicha na kwenda kula bata Bagamoyo. Usimuamini mwanasiasa hasa wa upinzani
 
Wasalaam.

Ni kawaida katka nchi yoyote ile duniani kuwa na majasusi wa kufanikisha mikakati na malengo ya nchi husika. Halikadhalika katika vyama vya siasa vyenye malengo ya kushika dola kuna majasusi kuhakikisha malengo yanatimia.

Inasikitisha kwa miaka 20 mh mbowe amekua jasusi wa ccm ndani ya chadema hivyo kukwamisha na kuvujisha mipango yote ya kuiondoa ccm madarakani.

Wanachadema wamekuja kustuka tayari wameshapoteza wanachama wengi kwa kuuwawa na wengine wamepotezwa haijulikani wako hai au ni marehemu.

Kwa usaliti huu wa mbowe ndio sababu mpaka leo:-
1. Hakuna uchunguzi juu ya kupotea bernsanane.
2. Hakuna uchunguzi kushambuliwa mh lissu.
3. Hakuna uchunguzi kuuwawa kwa mzee kibao.
4. Uwepo wa wabunge covid 19 n.k
Kwa usaliti huo ni vema bwana mbowe atoke hadharani awaombe radhi wana chadema aliwakosea pakubwa, kawaumiza wanachadema.
Mbowe keshaondoka. Kama Mbowe alikuwa ndio kikwazo basi sasa tunataka kuona Lisu akiitisha uchunguzi wa matukio hayo
 
Back
Top Bottom