Mbowe yuko huru, Sabaya nae aachiwe

Mbowe yuko huru, Sabaya nae aachiwe

Kajeba

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2020
Posts
1,057
Reaction score
2,364
Wakuu haki huinua taifa!

Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili.

Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia. Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida.
 
wakuu haki huinua taifa!

Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili

Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
"Ole wake" Sabaya yeye kahukumiwa na mahakama kwa kakutwa na makosa, Mbowe hajahukumiwa hivyo hao ni watu wawili tofauti kimahakama/kisheria, mmoja alikuwa mtuhumiwa na Mwingine ni mwenye hatia.

Wewe Muombee msamaha Sabaya tu bila kumuhusisha Mbowe.
 
wakuu haki huinua taifa!

Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili

Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Kwani Sabaya nae anakesi ya ugaidi ya mchongo?
 
wakuu haki huinua taifa!

Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili...
Sabaya ni jambazi na mahakama ilithibitisha. Mbowe alisingiziwa na ushahidi umeonyesha,waliofungua kesi wameona wanajihangaisha.
 
wakuu haki huinua taifa!

Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili

Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Sabaya kakutwa na hatia
 
wakuu haki huinua taifa!

Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili

Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida

Tatizo Sabaya ana damu ya kunguni, hamna anayejuzhugulisha naye.
 
wakuu haki huinua taifa!

Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili...
We ni boya kweli! Mtu mwenye guts za kukupigilia msumali wa inchi 6 unatamani arudishwe mtaani ili iweje!

Sabaya was inhuman through his acts na alikuwa jeuri sababu ya cheo chake. Huyo mtu hafai kuwa uraiani kabisa mtu ambaye mwenye roho ya imani angekuwa muoga kuyafanya aliofanya sabaya
 
Back
Top Bottom