johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mbowe yuko sahihi Kwa sababu yuko madarakani Kwa mujibu wa Katiba ya Chadema wala hajatumia nguvu kubaki madarakani.
Kama 90% ya wanachadema ni mbumbumbu wasioweza kujiongoza ni Sahihi kabisa Mbowe akaendelea kuwaongoza hadi atakapokufa
Lakini wanaotaka Kumpindua hata kama ni wanachadema Wawili watatu tu Hawa wako sahihi zaidi Kwa sababu Dunia tunayoishi Leo hailei Upumbavu na Wapumbavu
Mugabe alipotaka kulazimishwa kudumu madarakani alipinduliwa " kimtindo"
Mbowe wewe ni Mwamba usiogope Mapinduzi 🐼
Kama 90% ya wanachadema ni mbumbumbu wasioweza kujiongoza ni Sahihi kabisa Mbowe akaendelea kuwaongoza hadi atakapokufa
Lakini wanaotaka Kumpindua hata kama ni wanachadema Wawili watatu tu Hawa wako sahihi zaidi Kwa sababu Dunia tunayoishi Leo hailei Upumbavu na Wapumbavu
Mugabe alipotaka kulazimishwa kudumu madarakani alipinduliwa " kimtindo"
Mbowe wewe ni Mwamba usiogope Mapinduzi 🐼