johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Zile za ndani ya mtaa kijani zilishasikizwa na mbona mrejesho haujatolewa.Haki inayocheleweshwa ni haki inayominywa hivyo ni vema uongozi wa juu wa Chadema ukawatendea hski wabunge wake kwa kusikiliza rufaa zao mapema.
Kwa sasa haijulikani mwenyekiti wa Chadema taifa yuko wapi na yeye ndio mwenyekiti wa kikao cha Baraza kuu kitakachosikiliza rufaa za wabunge hao.
Inajulikana kuwa makamu mwenyekiti anaishi Ubelgiji siyo Tanzania.
Maendeleo hayana vyama!
Haki inayocheleweshwa ni haki inayominywa hivyo ni vema uongozi wa juu wa Chadema ukawatendea hski wabunge wake kwa kusikiliza rufaa zao mapema.
Kwa sasa haijulikani mwenyekiti wa Chadema taifa yuko wapi na yeye ndio mwenyekiti wa kikao cha Baraza kuu kitakachosikiliza rufaa za wabunge hao.
Inajulikana kuwa makamu mwenyekiti anaishi Ubelgiji siyo Tanzania.
Maendeleo hayana vyama!
Ebu tuambie Mwenyekiti wetu wa CCM na rais wetu yupo wapi?Haki inayocheleweshwa ni haki inayominywa hivyo ni vema uongozi wa juu wa Chadema ukawatendea hski wabunge wake kwa kusikiliza rufaa zao mapema.
Kwa sasa haijulikani mwenyekiti wa Chadema taifa yuko wapi na yeye ndio mwenyekiti wa kikao cha Baraza kuu kitakachosikiliza rufaa za wabunge hao.
Inajulikana kuwa makamu mwenyekiti anaishi Ubelgiji siyo Tanzania.
Maendeleo hayana vyama!
Mmemfanyia figisu mashamba yake na ubunge ,yupo UAE anatengeneza pesa kwenye biashara zake nyingine.Haki inayocheleweshwa ni haki inayominywa hivyo ni vema uongozi wa juu wa Chadema ukawatendea hski wabunge wake kwa kusikiliza rufaa zao mapema.
Kwa sasa haijulikani mwenyekiti wa Chadema taifa yuko wapi na yeye ndio mwenyekiti wa kikao cha Baraza kuu kitakachosikiliza rufaa za wabunge hao.
Inajulikana kuwa makamu mwenyekiti anaishi Ubelgiji siyo Tanzania.
Maendeleo hayana vyama!
Ebu tuambie Mwenyekiti wetu wa CCM na rais wetu yupo wapi?
Maana angesikika la shauri lako hilu lingejulikana na kumalizwa.
Kenge wee.
πππ Ni vyema baraza kuu litakapoketi lijiridhishe kama kamati kuu kabla ya kuwaadhibu hao mnaowaita covid 19 ilizingatia kanuni ya utafiti wa kisayansi kama anavyotuelimisha Mama Amon ie, kanuni ya zile k6. Kuona, kuhoji, kutuhumu, Kutafiti, kuhukumu na kutenda.Uzi wa kimasikini sana ! hatutarejea kufafanua huu ujinga wenu wa kila mara
Jiulize mwaka 2025 hao wamama 19 watagombea ubunge wapi na kwa ticket ya chama gani?Haki inayocheleweshwa ni haki inayominywa hivyo ni vema uongozi wa juu wa Chadema ukawatendea hski wabunge wake kwa kusikiliza rufaa zao mapema.
Kwa sasa haijulikani mwenyekiti wa Chadema taifa yuko wapi na yeye ndio mwenyekiti wa kikao cha Baraza kuu kitakachosikiliza rufaa za wabunge hao.
Inajulikana kuwa makamu mwenyekiti anaishi Ubelgiji siyo Tanzania.
Maendeleo hayana vyama!
Haki gani imecheleweshwa? hawaigii bungeni au hawalipwi posho zao na mishahara?Haki inayocheleweshwa ni haki inayominywa hivyo ni vema uongozi wa juu wa Chadema ukawatendea hski wabunge wake kwa kusikiliza rufaa zao mapema.
Kwa sasa haijulikani mwenyekiti wa Chadema taifa yuko wapi na yeye ndio mwenyekiti wa kikao cha Baraza kuu kitakachosikiliza rufaa za wabunge hao.
Inajulikana kuwa makamu mwenyekiti anaishi Ubelgiji siyo Tanzania.
Maendeleo hayana vyama!
Kwani ile ya Membe kufukuzwa CCM bila kufuata utaratibu ilishasikilizwa? FIFO...Haki inayocheleweshwa ni haki inayominywa hivyo ni vema uongozi wa juu wa Chadema ukawatendea hski wabunge wake kwa kusikiliza rufaa zao mapema.
Kwa sasa haijulikani mwenyekiti wa Chadema taifa yuko wapi na yeye ndio mwenyekiti wa kikao cha Baraza kuu kitakachosikiliza rufaa za wabunge hao.
Inajulikana kuwa makamu mwenyekiti anaishi Ubelgiji siyo Tanzania.
Maendeleo hayana vyama!
Kwani Membe yuko CCM?!Kwani ile ya Membe kufukuzwa CCM bila kufuata utaratibu ilishasikilizwa? FIFO...